Base (Swahili) |
English |
Napenda kuwapongezeni Maendeleo ya Jamii na Uhifadhi wa Mazingira kwa kuliangalia suala hili kwa kina zaidi na kuweza kufahamu kuwa lina madhara juu ya jamii yetu na Nchi yetu kwani Nchi zilizoendelea zimeshaona kuwa Zanzibar ndio Jaa lao la kutupia vitu vyao kwa hiyo tunaombna kwanza ndugu zetu wafanya Biashara wakubali hilo kwanza, Pia Serikali inaweza kudhibiti hilo kwa kupitia Ofisi ya Makamo wa Kwanza, pamoja na Wizara ya Biashara ili kuzibiti uingizaji wa bidhaa chakavu Nchini mwetu.
Pia ningependelea kushirikishwa wanaazaki wanaojishughulisha na Mazingira ili kushirikiana na Serikali kwa jambo hilo kwani tunaweza kuondosha haraka iwezekanvyo kama kweli tunaipenda Nchi na Wananchi wetu. Ukizingatia kwa kina zaidi wengi wetu unaovamia bidhaa chakavu basi utakuta majumbani mwetu kumejaaa mende wadogo x2 nao huzidisha uchafu majumbani hata majaani kumejaaa mafriji mabovu, na mativii kwani ukitizama haileti hali nzuri ya Nchi yetu. kwani wizara ya Mazingira iliwezaje kuzuia mifuko ya Plastik na isiweze kuweka mkakati kwa bidhaa hizi chakavu.
NILAZIMA OFISI YA MAKAMO WA KWANZA ITAFAKARI KWA KINA ZAIDI NA IFANYE HARAKA KUCHUKA HATUA ZAIDI.
SISI TWAWEZA KWA KUSHIRIKIANA NA OFISI YA MAKAMO WA KWANZA NA WIZARA YAKE YA MAZINGIRA KWA JAMBO HILI.
|
I would kuwapongezeni Community Development and Conservation of the Environment for addressing this issue in more detail and to understand that it has effects on our society and our countries as Developed countries zimeshaona that Zanzibar is full of their throwing their things so we mbna first brethren merchants first to admit it, government can also control it through the Office of the Vice First, with the Ministry of Commerce to kuzibiti importation of products as our scrap. ,, I would also like to share the CSOs involved in the environment to cooperate with the Government for that matter because we could get urgent if we truly love our country and citizens. Considering in more detail our most ovamia scrap products you will find our homes x2 kumejaaa small bugs and dirt can increase domestic fridge until Jaani kumejaaa bad, and mativii as you look does not a good situation for our country. Ministry of Environment as iliwezaje prevent Plastik bags and can not set a strategy to scrap these products.
Must Vice FIRST OFFICE IN CHINA meditates RESPONSE TO WHAT DO I occupy STEP FURTHER.
We be able to cooperate with Vice OFFICE OF THE FIRST AND MINISTRY OF THE ENVIRONMENT FOR ITS SOMETHING THIS.
|