Envaya

/LINGONET/topic/23166/add_message: English: dM000B3E7099928000025012:content

Base (Swahili) English

Wananchi tunasikia mjadala juu ya hoja ya kukatwa posho za vikao vya wabunge na pesa kuhamishiwa katika masuala mengine ya maendeleo. Kundi la watawala wanatetea posho hizi zisiguswe.  Maudhui makubwa ni kwamba  KUNDI LA WATU WACHACHE WENYE DHAMANA YA KUONGOZA wanafikiria zaidi namna ya kujinufaisha na kujilimbikizia mali huku wakiacha kundi kubwa wanaloliongoza likiendelea kuzama katika lindi la umaskini.  Hawa ndio wabunge tulionao na Spika wetu.

 Wanaharakati tujadili na tuelimishane juu ya athari za mfumo unaosababisha mgawanyo wa raslimali za taifa usio wa haki pamoja na mikakati ya kuondokana na mfumo huu. Wabunge kulipwa zaidi ya mara moja kwa kazi moja ni ufisadi. Una mawazo gani juu ya hoja hii?

The people we heard the debate on the motion to cut allowances and parliamentary sessions the money transferred into other aspects of development. Group will not defend these allowances zisiguswe. The content is great that a group of few people in charge of leading think more how to take advantage and concentrated wealth while leaving a large group loliongoza persists sink into the depths of poverty. These are the legislators we have with our Speaker.

Activists tujadili and tuelimishane on the impact of the system leading to allocation of national resources, unfair and strategies to eliminate this system. MPs earn more than once for the same job is corruption. What you have thought about this argument?


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
June 15, 2011
The people we heard the debate on the motion to cut allowances and parliamentary sessions the money transferred into other aspects of development. Group will not defend these allowances zisiguswe. The content is great that a group of few people in charge of leading think more how to take advantage and concentrated wealth while leaving a large group loliongoza persists sink into the depths of poverty. These are the legislators we have with our Speaker. ...