Envaya

/TEYODEN/news: English: WI0009D745D4614000001404:content

Base (Swahili) English
TAARIFA YA MTANDAO WA VIJANA MANISPAA YA TEMEKE KWA KIPINDI CHA UTEKELEZAJI CHA JULAY-SEPT 2009.

KUTOKA: MTANDAO WA MAENDELEO YA VIJANA MANISPAA YA TEMEKE (TEYODEN)
KWENDA KWA: MKURUGENZI WA HALMASHAURI MANISPAA YA TEMEKE

1.0 UTANGULIZI
Temeke Youth Development Network (TEYODEN) ni Mtandao wa Maendeleo ya Vijana unaoendeshwa na vijana wenyewe miongoni mwa mitandao 19 iliyotokana na programu ya vijana nje ya shule iliyotekelezwa na Halmashauri 19 nchini Tanzania kwa ufadhili wa UNICEF. Mtandao umesajiriwa chini ya ofisi ya Makamu wa Raisi, namba ya usajiri ni OONGO/0170.TEYODEN inasimamia na kuratibu shughuli zake katika vituo 24 vya vijana vilivyopo katika kata 24 za Manispaa ya Temeke.
1.1 Dira ya TEYODEN
Kuwa Mtandao bora wa Maendeleo ya vijana Tanzania unaowezesha vijana kuwajibika vya kutosha katika kubadili tabia hatarishi na kujiletea
katika vituo vya vijana vya kata na asasi wanachama wa TEYODEN.
1.3 Lengo kuu la TEYODEN
Kuchangia juhudi za kuleta maendeleo endelevu na thabiti ya tabia na mienendo ya vijana katika mahusiano yao hususani katika masuala ya ngono ili kupunguza kasi ya maambukizi ya virusi vya ukimwi na kutekeleza mkakati wa kupunguza umasikini ili kufikia malengoya milenia (MDG`s)
2.0 SHUGHULI ZILIZOFANYIKA
• Katika miezi 3-(Julay -sept)ya utekelezaji, shughuli zifuatazo zilitekelezwa:

2.1 Utafiti kwa vijana juu ya uwajibikaji na ushiriki wa vijana katika shughuli za jamii na maendeleo.
TEYODEN imefanya utafiti shirikishi kuhusu uwajibikaji na ushiriki wa vijana katika vikao vya maendeleo na shughuli za kijamii na maendeleo.Utafiti huu umetokana maoni ya The Foundation For Civil kuwa ni vyema kufanya tafiti ili kujua hali ya uwajibikaji na ushiriki wa vijana kabla ya kuwasilisha tena mradi.Matokeo ya utafiti uliofanywa kwa Mukhtasari ni kama ifuatavyo:-
• 61.7% ya walengwa wa utafiti walionyesha uelewa kuhusu maana ya uwajibikaji na 38.3 % walionyesha kutoelewa maana ya uwajibikaji na dhana nzima ya uwajibikaji kwa vijana.
• 50% ya walengwa walionyesha kuwa kuna uwajibikaji hafifu kwa vijana katika mitaa na kata wanakoishi na 47% ya vijana wahojiwa walisema kuwa kuna uwajibikaji wa wastani miongoni mwa vijana katika mitaa wanayoishi.
• 85.3% ya vijana walisema hawashiriki katika vikao na shughuli za maendeleo ngazi ya kata na 14.7% tu ya vijana wanashiriki katika vikao na shughuli za kijamii na kimaendeleo ngazi ya kata.
• 73.5% vijana waliohojiwa walisema hawashiriki vikao na shughuli za kimaendeleo ngazi ya mtaa na 26.5% walisema wanashiriki katika vikao na shughuli za kimaendeleo na jamii ngazi ya mitaa.
• 67.6% ya vijana walisema hawashiriki katika shughuli za kujitolea na 32.4% za vijana walisema wanashiriki katika shughuli za kujitolea ngazi ya manispaa na kata.
• 76.5% ya vijana walisema wanashiriki katika vikao vya vijana katika vituo vya kata na 23.5% wanashiriki ipasavyo katika vikao vya vituo vya vijana vya kata.
• 76.5% ya vijana walihojiwa walisema vijana wanapaswa na ni muhimu sana kushiriki na kushirikishwa katika kufanya maamuzi ya kujamii na kimaendeleo,20.6% ni muhimu na 2.9% si muhimu sana kwa kuwa haina matokeo yoyote.
Maazimio ya vijana kutokana na utafiti huu ni kuanzisha kwa mradi au mpango maalum utakaowezesha vijana kujua umuhimu wa uwajibikaji na ushiriki wao katika shughuli za kijamii na maendeleo.Andiko la mradi limeandikwa upya na kuwasilishwa katika ofisi za Foundation.

2.2 Mradi wa uenezaji wa sera ya vijana wa Kituo cha vijana cha makangarawe.
Kituo cha vijana cha kata ya makangarawe kimeibua mradi wa kueneza sera ya vijana kwa vijana katika kata hiyo.Mradi huu umepata bahati ya kufadhiliwa na taasisi ya The Foundation For Civil Society.Mradi huu unategemewa kutekelezwa katika kipindi cha miezi 3 kuanzia mwishoni mwa Oktoba na kumalizika mwishoni mwa Disemba.

2.3 Mjadala wa vijana centre 1.
Kama ilivyo kawaida kwa vijana wa TEYODEN kufanya midahalo kila jumamosi mbili katika mwezi.katika kipindi cha taarifa vijana walifanya midahalo 6 na wastani wa vijana 107 walishiriki katika midahalo hiyo.

2.4 Mafunzo ya kujenga uwezo wa Viongozi na watendaji wa TEYODEN.
Katika kipindi cha taarifa viongozi na wanachama wa TEYODEN walipata nafasi ya kuhudhuria mafunzo ndani na nje ya mkoa wa Daresalaam kama ifutavyo:-

1.) Mafunzo ya uendelezaji wa Asasi za kiraia(Organisational Development)
Lengo la mafunzo -
Lengo la mafunzo haya ni kuinua uelewa wa wawakilishi wa asasi za kiraia kuhusu mbinu za kuendeleza asasi zao kwa kufuata mwelekeo na shughuli zenye mafanikio kwa jamii.
TEYODEN ilipata nafasi ya mwakilishi mmoja katika mafunzo haya.
2.) Ushiriki wa mweka hazina wa TEYODEN katika mafunzo ya uhasibu kwa mara ya pili hoteli ya Giraffee chini ya ufadhili wa The Foundation for Civil Society.
Lengo la mafunzo:-
Lengo la mafunzo haya ni kuwezesha wahasibu wa asasi za kiraia kuwa na uwezo wa kuendesha shughuli za mahesabu katika Asasi zao kwa uwazi na uwajibikaji.

3.) Kikao cha wadau wa elimu ya stadi za maisha kilichofanyika hoteli ya 88 mkoa wa Morogoro.
Lengo la kikao ni kupitia na kufanya marekebisho ya mwisho katika kitini cha kuwezeshea stadi za maisha kwa vijana walio nje ya shule Tanzania.
TEYODEN ilipata nafasi ya kuwakilishwa na katibu mkuu katika mkutano huo.
4.) Mafunzo ya kutengeneza sabuni ya maji.
Lengo la mafunzo ni kuwezesha vijana kuwa na uwezo wa kutengeneza sabuni ya maji ili kuinua kipato chao na kujiepusha na tabia hatarishi zinazoweza kuwapelekea katika maambukizi ya VVU.

Katika mafunzo haya vijana 12 kutoka kata ya Vituka walipata nafasi ya kushiriki.
5.) Mafunzo ya stadi za maisha yaliyofanyika ofisi ya afisa mtendaji kata changombe.

Lengo la mafunzo ni kuwezesha vijana wapatao 40 kuwa wawezeshaji wa stadi za maisha kwa vijana wenzao katika kata za Charambe,Temeke na kisarawe II.
6. Shughuli ya ufuatiliaji na usimamizi wa shughuli za vijana Manispaa ya Temeke.Katika shughuli hii taasisi za vijana 81 zilitembelewa.
2.5 Mikutano na shughuli nyingine vijana walizoshiriki.
1. Vijana 10 walishiriki katika siku ya vijana ya kimataifa katika ukumbi wa elimu ya atu wazima shughuli iliyoratibiwa na wizara ya kazi ajira na maendeleo ya vijana.
2. Ushiriki wa vijana katika vikao vya vijana ofisi za UNIC.Vijana zaidi ya 20 hushiriki katika vikao vya vijana katika kito cha habari cha umoja wa mataifa kufanya mijadala na vijana wengine nje ya Temeke.
3.Ushiriki wa vijana 4 katika mkutano wa kambi ya dunia uliofanyika kuanzia tarehe 21/7/2009 hadi 27/8/2009 katika ukumbi wa sabasaba karume hall.

3.0 KAZI ZILIZOPANGWA KUFANYIKA
3.1 TEYODEN imepanga kufanya mambo yafuatayo:-
1.) Kutekeleza mradi wa ushonaji na kudarizi kwa vijana wa kike 80 kutoka kata za Azimio,Makangarawe,Sandali na Vituka mwezi wa 12 baada ya kupata fedha kutoka ubalozi wa Ujerumani.

4.0 :HITIMISHO
TEYODEN inaamini kuwa mabadiliko kwa vijana yatakayochangia maendeleo ya vijana yanawezekana kama vijana wanapewa uzito unaostahili katika kupanga, kutekeleza, kufuatilia na kutathmini shughuli za maendeleo. Viongozi wa TEYODEN na vijana siku hadi siku wamekuwa wakiongezewa uwezo katika kuhakikisha wanatekeleza majukumu yao ipasavyo.Hivyo tunawashauri wadau kutumia fursa hii adimu kwa kuwatumia ili kutatua matatizo ya vijana.vijana tukijiwezesha na kuwezeshwa tunaweza.
INFORMATION NETWORK OF YOUTH Temeke Municipality SESSION FOR THE IMPLEMENTATION JULAY-SEPT 2009.

FROM: THE DEVELOPMENT OF YOUTH NETWORK Municipal Temeke (TEYODEN)
GO TO: DIRECTOR OF COUNCIL Temeke Municipality

1.0 INTRODUCTION
Temeke Youth Development Network (TEYODEN) is the Youth Development Network is run by young people themselves among the 19 networks derived from programs outside of school youth councils iliyotekelezwa and 19 in Tanzania with funding from UNICEF. The network has sajiriwa under the Vice President's office, the registration number is OONGO/0170.TEYODEN oversees and coordinates its activities with young people in 24 centers located in 24 wards Temeke Municipality.
1.1 Vision TEYODEN
Be the best Web Development Tanzania enabling young teens responsible enough in changing risky behavior and stairway
in youth centers and institutions of the county members of TEYODEN.
1.3 The main objective of TEYODEN
Contribute to efforts to bring sustainable and steady development of character and behavior of young people in their relations particularly in matters of sex to reduce the speed of transmission of HIV and to implement poverty reduction strategy to achieve the millennium malengoya (MDG 's)
2.0 Activities undertaken
• At 3 months - (Julay-sept) of implementation, the following activities zilitekelezwa:

2.1 Research on youth accountability and youth participation in community activities and development.
TEYODEN has collaborative research on accountability and participation of youth in development sessions and social activities and this has been attributed maendeleo.Utafiti views of The Foundation For Civil it is advisable to do studies to understand the nature of accountability and participation of young people before submitting the project again. The results of research conducted are summarized as follows: -
• 61.7% of the beneficiaries of the research expressed understanding about the meaning of accountability and 38.3% expressed a misunderstanding because the whole concept of accountability and responsibility for young people.
• 50% of the beneficiaries expressed that there is poor accountability for youths in the local and county they live and 47% of young respondents said that there is accountability of the average among the youth in the streets they live.
• 85.3% of teens said they did not participate in the forums and development activities of county level and only 14.7% of youth participated in forums and social activities and developmental level of the county.
• 73.5% young people interviewed said they do not share sessions and development activities locally and 26.5% said they participated in the sessions and development activities and local community level.
• 67.6% of teens said they did not participate in volunteer activities and 32.4% of teens said they participated in volunteer activities of municipal and county levels.
• 76.5% of teens said they participated in youth forums in county facilities and 23.5% are participating effectively in meetings with county youth centers.
• 76.5% of young men interviewed said young people should and is very important to participate and be involved in decision making and social development, 20.6% and 2.9% is important not very important because it does not have any impact.
Declarations of youth from this study is to establish a specific project or program will kaowezesha teens know the importance of accountability and participation in social activities and maendeleo.Andiko written project review and submitted in the office of the Foundation.

2.2 The project's dissemination policy of the Centre for young teens to makangarawe.
Centre County Youth of the project spread makangarawe kimeibua youth policy for youth in the county has been lucky hiyo.Mradi the institute sponsored by The Foundation For Civil Society.Mradi This is expected to be implemented within 3 months from late October and ended end of December.

2.3 Discussion of a youth center.
As is common for young TEYODEN debating every Saturday in mwezi.katika past two teens did report six debates with the average 107 young people participated in this debate.

2.4 Training, capacity building of leaders and executives of TEYODEN.
During the statement the leaders and members of TEYODEN got a chance to attend training within and outside the region of Daresalaam as follows: -

1.) Training for promotion of civil society (Organisational Development)
The goal of training -
The goal of this training is to raise awareness of the representatives of civil society on strategies to develop their institutions to follow the trends and achievements in community activities.
TEYODEN earned a representative one in this tutorial.
2.) Participation TEYODEN treasurer of the training of accounting for the second time Giraffee hotel under the auspices of The Foundation for Civil Society.
The goal of training: -
Goal...

In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
March 21, 2011
INFORMATION NETWORK OF YOUTH Temeke Municipality SESSION FOR THE IMPLEMENTATION JULAY-SEPT 2009. – FROM: THE DEVELOPMENT OF YOUTH NETWORK Municipal Temeke (TEYODEN) – GO TO: DIRECTOR OF COUNCIL Temeke Municipality – 1.0 INTRODUCTION – Temeke Youth Development Network (TEYODEN) is the Youth Development Network is run by young people themselves among the 19 networks derived from programs outside of school youth councils iliyotekelezwa and 19 in Tanzania with...