Log in

/TEYODEN/news: English: WI000519A34CCDD000001362:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English
TEYODEN: WAAHIRISHA MDAHALO WA VIJANA LEO

Kutokana na kuwepo kwa mkutano wa vijana unaohusu changamoto zinazowakabili vijna katika shughuli za ujasiriamali ulioandaliwa na One Stop Youth Centre ( OSYC) cha Dar Es Salaam,leo TEYODEN haitakuwa na mdahalo wa vijana hadi wiki ijayo na mada itakuwa ni ileilie ilyokuwa ikiendelea wiki mbili zilizopita.Hivyo vijana wote na wadau mbalmbali mliokuwa mmealikwa kwa ajili ya kutoa ufafanuzi kuhusiana na mapambano dhidi ya ukimwi na changamoto zake mnaombwa radhi kwa usumbufu uliojitokeza.

Vijana zaidi ya 40 wa TEYODEN leo wataungana na vijana wenzao kutoka katika wilaya za Kinondoni na Ilala pale katika ukumbi wa Karimjee katika kuzijadili changamoto zinazowakabili katika suala zima la ujasiriamali ili kujikomboa kiuchumi.
TEYODEN: postpone Debate Youth TODAY,,,, Due to the existence of a meeting of young people concerning the challenges facing vijna the activities of entrepreneurship was organized by the One Stop Youth Centre (OSYC) of Dar Es Salaam, today TEYODEN not be the debate of youth until next week and the topic will be two weeks ileilie ilyokuwa ikiendelea zilizopita.Hivyo mbalmbali youth and stakeholders who were invited to provide commentary related to the fight against HIV / AIDS and its challenge to a dog who was pleased with emerging .

discomfort over 40 youth of today TEYODEN will join other youth from Kinondoni and Ilala districts where the court of Karimjee discuss the challenges facing the whole issue of entrepreneurship to economic kujikomboa.

In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
July 13, 2010
TEYODEN: postpone Debate Youth TODAY,,,, Due to the existence of a meeting of young people concerning the challenges facing vijna the activities of entrepreneurship was organized by the One Stop Youth Centre (OSYC) of Dar Es Salaam, today TEYODEN not be the debate of youth until next week and the topic will be two weeks ileilie ilyokuwa ikiendelea zilizopita.Hivyo mbalmbali youth and stakeholders who were invited to provide commentary related to the fight against HIV / AIDS and its challenge to...