Envaya

/kgcd/news: English

BaseEnglish
(image) – Mh: Diwani wa kata ya Kibedya Tarafa ya Gairo Mze Mkunduge akichangia jambo wakati wa mdahalo ulifanyika Gairo 2011(image) – Hon ward Councillor Division Gairo Kibedya Mze Mkunduge contributing during the debate which took place in 2011 GairoEdit
(image) – Mgeni rasmi afisa tarafa wa tarafa ya dumila, kwa niaba ya mku wa wilaya ya Kilosa akifunga Mdahalo wa wadau wa matumizi sahihi ya Vocha za Ruzuku za Pembejeo za kilimo. Ulioendeshwa na Kijogoo Group kwa Ufadhili wa The Foundation For Civil Society. L.T.D(image) – Guest divisional officer of the division of Dumila, on behalf of PRS Kilosa district scoring Forum's stakeholders proper use of vouchers for agricultural inputs Grant. Ulioendeshwa and seafish Group for funding of the Foundation for Civil Society. LTDEdit
(image) – Mratibu wa Mdahalo/Mradi wa Uwajibikaji wa Serikali kwa Umma wa Kijgooo Group Bw Ramadhani S. Omary akiteta jambo na Mh: Diwani wa kata ya Gairo Mjini wakati wa Mkutano/Mdahalo uliofanyika Gairo 2011(image) – Debating Coordinator / Project for Public Accountability of the Government of Mr. Ramadan Kijgooo Group S. Omary he plead the case and the Hon ward councilor for Urban Gairo during the meeting / debate was held Gairo 2011Edit
(image)(Not translated)Edit
(image)(Not translated)Edit
Habari wana harakati,Kijogoo Group For Community Development ya Mjini Morogoro,inatoa taarifa kwa wadau juu ya mpango wake wa kutekeleza mradi wa SAM sekta ya Afya Tarafa ya Vigoi Wilaya ya Ulanga pindi tutakapoingiziwa fedha za Mfadhili. – Mradi huo utatekelezwa kwa ufadhili wa The Foundation For Civil Society ya Dar es Salaam nchini Tanzania. – Utekelezaji wa mradi huo utagharimu fedha kiasi cha Tsh,44,500,300/= shilingi milioni arobaini na nne laki...(Not translated)Edit
Habari wadau wote wa maendeleo,kwanaza poleni sana na harakati za kila siku za kuleta maendeleo hapa nchini kwetu, – Asasi yetu inatekeleza mradi wa uwajibikaji wa jamii katika kufuatilia rasilimali za umma sekta ya afya wilaya ya ulanga tarafa ya vigoi kata za msogezi na nawenge,tulianza na shuguli ya kuendesha mafunzo kwa viongozi na watendaji wa serikali,wananchi wa kawaida na wajumbe wa kamati za afya kutoka vijiji vya kata husika za mradi na baada ya mafunzo hayo tumeendesha...(Not translated)Edit
Habari wadau wa maendeleo,napenda kuwasilisha taarifa ya masikitiko juu ya hawa wenzetu waliopewa dhamana na serikali kwa ajili ya kutengeneza chombo kitachotuongoza sisi na vizazi vyeti ( WABUNGE WA KATIBA ) kwa kweli hawaoni ni kiasi gani wa Tanzania wanavyowachukulia kwa mitazamo tofauti kuhusu madai wanayosema ni muhimu kwao ya kudai posho zaidi ya ile iliyopangwa,Je wanatuchukuliaje sisi wa Tanzania wenzao tuliokosa fursa ya kushiriki bunge hilo kwa huo msimamo wao wa kudai posho kubwa...(Not translated)Edit
Kijogoo group for community development inatoa salam za sikuu ya pasaka kwa wadau wote mungu atubariki na tuisheherekee vema kwa amani(Not translated)Edit
Habari wadau,napenda kuchukua fursa hii ya kipekee kwa kutoa taarifa kwa wadau wote wapenda maendeleo nchini kwetu Tanzania. – ikumbukwe kuwa mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi mkuu,hivyo wadau yatuoasa tuwe mstari wa mbele kwa kuielimisha jamii iliyojiandikisha ijitokeze kupiga kura siku ya uchaguzi ambapo ni tarehe 25 oktoba 2015, na tuhamasishe wananchi kuwa uchaguzi huu uwe wa AMANI na HURU kwani amani ndio njia pekee ya kudumisha amani na utulivu Nchi yetu ya Tanzania. ...(Not translated)Edit