Envaya

/TEYODEN/news: Kinyarwanda

BaseKinyarwanda
TAARIFA YA MTANDAO WA VIJANA MANISPAA YA TEMEKE KWA KIPINDI CHA UTEKELEZAJI CHA JAN-APRILI 2010 – KUTOKA: MTANDAO WA MAENDELEO YA VIJANA MANISPAA YA TEMEKE (TEYODEN) – KWENDA KWA: MKURUGENZI WA HALMASHAURI MANISPAA YA TEMEKE – 1.0 UTANGULIZI – TEYODEN katika kipindi cha utekelezaji cha taarifa hii imefanikiwa kutekeleza shughuli mablimbali.Taarifa hii inalengo la kueleza shughuli zilizofanyika,mafanikio changamoto na mapendekeozo ya vijana katika kipindi cha uutekelezaji wa taaifa...(Not translated)Hindura
TEYODEN: WAAHIRISHA MDAHALO WA VIJANA LEO – Kutokana na kuwepo kwa mkutano wa vijana unaohusu changamoto zinazowakabili vijna katika shughuli za ujasiriamali ulioandaliwa na One Stop Youth Centre ( OSYC) cha Dar Es Salaam,leo TEYODEN haitakuwa na mdahalo wa vijana hadi wiki ijayo na mada itakuwa ni ileilie ilyokuwa ikiendelea wiki mbili zilizopita.Hivyo vijana wote na wadau mbalmbali mliokuwa mmealikwa kwa ajili ya kutoa ufafanuzi kuhusiana na mapambano dhidi ya ukimwi na changamoto...(Not translated)Hindura
2.0 SHUGHULI ZILIZOFANYIKA – • Katika miezi 3-(Julay -sept)ya utekelezaji, shughuli zifuatazo zilitekelezwa: – 2.1 Utafiti kwa vijana juu ya uwajibikaji na ushiriki wa vijana katika shughuli za jamii na maendeleo. – TEYODEN imefanya utafiti shirikishi kuhusu uwajibikaji na ushiriki wa vijana katika vikao vya maendeleo na shughuli za kijamii na maendeleo.Utafiti huu umetokana maoni ya The Foundation For Civil kuwa ni vyema kufanya tafiti ili kujua hali ya uwajibikaji na...(Not translated)Hindura
Vijana wa TEYODEN wajadili ukimwi kwa kina – Katika kukabiliana na changamoto zinazowakabili vijana hapa nchini,vijana wa TEYODEN hivi karibuni walipata fursa ya kuyaunganisha mawazo yao kwa njia ya mjadala kuhusiana na ugonjwa wa ukimwi ikiwa ni katika mfululizo wa mijadala inayofanyika mara mbili katika kila mwezi. – Katika mjadala huo vijana waliona ni muhimu kukawepo na wataalamu toka idara ya afya,viongozi wa dini na ikiwezekana awepo kiongozi mmoja toka serikalini,kwani mara...(Not translated)Hindura
TAARIFA YA MTANDAO WA VIJANA MANISPAA YA TEMEKE KWA KIPINDI CHA UTEKELEZAJI CHA JULAY-SEPT 2009. – KUTOKA: MTANDAO WA MAENDELEO YA VIJANA MANISPAA YA TEMEKE (TEYODEN) – KWENDA KWA: MKURUGENZI WA HALMASHAURI MANISPAA YA TEMEKE – 1.0 UTANGULIZI – Temeke Youth Development Network (TEYODEN) ni Mtandao wa Maendeleo ya Vijana unaoendeshwa na vijana wenyewe miongoni mwa mitandao 19 iliyotokana na programu ya vijana nje ya shule iliyotekelezwa na Halmashauri 19 nchini Tanzania...(Not translated)Hindura
TAARIFA FUPI YA MTANDAO WA VIJANA MANISPAA YA TEMEKE KWA KIPINDI CHA UTEKELEZAJI CHA JAN –MACHI 2009. – KUTOKA: MTANDAO WA MAENDELEO YA VIJANA MANISPAA YA TEMEKE (TEYODEN) – KWENDA KWA: MKURUGENZI WA HALMASHAURI MANISPAA YA TEMEKE – 1.0 UTANGULIZI – Temeke Youth Development Network (TEYODEN) ni Mtandao wa Maendeleo ya Vijana unaoendeshwa na vijana wenyewe miongoni mwa mitandao 19 iliyotokana na programu ya vijana nje ya shule iliyotekelezwa na Halmashauri 19 nchini...(Not translated)Hindura
Donation(Not translated)Hindura
CommentsIbitekerezoHindura
MayGicurasiHindura
JuneKamenaHindura
{month} {day}, {year}{day} {month}, {year}Hindura
DiscussionsIbiganiroHindura
EnglishIcyongerezaHindura
SwahiliIgiswayireHindura
NetworkIhuriroHindura