Envaya

/CHACODE/news: English: WI00066F1FB4FEA000107072:content

Base (Swahili) English

Maisha ya Kijiji,wakati mwingine kutokana na ukosefu wa vifaa mbalimbali vya kurahisisha shughuli zako za kila siku za kujiongezea kipato kama vile trekta,plau dhana inayotumika katika kilimo au jembe la kukotwa kwa Ng'ombe au wanyama pia hata hukosa mwevuli wa kujikinga na mvua pindi mvua inyeshapo,hutumia jani la Mgomba kujikinga na mvua,hapa Mkurugenzi Mtendaji wa CHACODE,Thadei Hafigwa ili kuendana na mazingira ya Kijiji amelazimika kutumia Jani la Mgombea kujikinga na mvua.

Kiwango cha maisha ya watanzania walio wengi ambao huishi vijijini wanajenga nyumba zao kwa kutumia dhana za asili,nyasi zinatumika kujenga na kuezeka.Tanzania ina safari ndefu ya kuhakikisha ya kuwa kila mtazania anaishi katika nyumba bora na ya kisasa,mlo wake si wa kubahatisha,watoto wanakwenda shule,wanafunzi wanafundishwa vema na walimu wao walioandaliwa mazingira mazuri ya kufundisha.

baadhi ya maeneo vijijini wanajikuta bado wanatumia kinu na mche kutwanga nafaka ili waweze kupata unga utakaotumika kuandaa chakula chao,hii inatokana kukosekana na kwa wawekezaji wa kupeleka mashine za kusaka nafaka.

Village life, sometimes due to lack of various facilities to simplify your daily activities to increase their income, such as a tractor, plow the concept used in agriculture or cattle to plow the kukotwa animals or even lack of protection against rain mwevuli when inyeshapo rain, uses leaf l a banana to prevent rain, here CHACODE Executive Director, Thadei Hafigwa to conform to the Village environment has forced the candidate to use Jani prevent rain.

Standard of living of Tanzanians are many who live in rural areas they built their houses using the concept of nature, the grass used to build and kuezeka.Tanzania has a long way to ensure that all Tanzanians live in better houses with modern diet is not a coincidence, children school, students are taught well by their teachers who prepared the teaching environment.

some rural areas are finding they still use the mill to grind the corn plant so they can get a meal will be used to prepare their food, this is due to the absence and send investors in search of grain machines.


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
March 9, 2012
Village life, sometimes due to lack of various facilities to simplify your daily activities to increase their income, such as a tractor, plow the concept used in agriculture or cattle to plow the kukotwa animals or even lack of protection against rain mwevuli when inyeshapo rain, uses leaf l (image) (image) (image) a banana to prevent rain, here CHACODE Executive Director, Thadei Hafigwa to conform to the Village environment has forced...