(image) | (Not translated) | Edit |
Interview 10 – 1.Unaishi sehemu gani?! – Keko mwanga 'A' – 2.Mtaa wako unahitaji kitu gani sana sana?! – Kuboresha miundo mbinu,mfano mfereji mkubwa kupanuliwa,mifereji midogo midogo ijengwe itakayotiririsha maji kwenye mfereji mkubwa. – 3.Mafuriko yameleta athari gani kwenye nyumba unayoishi na vitu vyako?! – Vitu vyote vya ndani vimeharibika.
Nyumba imebomoka... | (Not translated) | Edit |
(image) | (Not translated) | Edit |
Interview 8 – 1.Unaishi eneo gani?! – Magulumbasi 'B' – 2.Mtaa wako unahitaji kitu gani sana sana?! – Nyumba zilizoharibika watusaidie kuzirekebisha.
Tupewe eneo maalumu la kuweka taka zinazoziba mifereji.
Kuta zinazoziba njia ya maji zibomolewe.
3.Mafuriko yameleta athari gani kwenye nyumba unayoishi nna vitu vyako?! – Vitu vyangu vyote vya ndani vimepotea. ... | (Not translated) | Edit |
(image) | (Not translated) | Edit |
Interview 9 – 1.Unaishi eneo gani?! – Keko magulumbasi 'A' – 2.Mtaa wako unahitaji kitu gani sana sana?! – Sehemu maalumu ya kuweka taka ili uchafu usizibe mifereji ya maji
Kujengwe mifereji midogo midogo itakayowezesha kupitisha maji nyumba hadi nyumba.
3.Mafuriko yameleta athari gani kwenye nyumba unayoishi na vitu vyako?! – Nimepoteza vifaa vyangu vya kazi kwa maji,nilikua... | (Not translated) | Edit |
(image) | (Not translated) | Edit |
(image) | (Not translated) | Edit |
(hidden) |
(hidden) |
(hidden) |
(hidden) |
(hidden) |
(hidden) |
(hidden) |