Log in

/M-E-D-1-1/news: English

BaseEnglish
MikakatiStrategiesEdit
Je Wajua?Did you know?Edit
SHULE YAFAULISHA 100%; YAJIKITA KUPELEKA WATOTO SHULE ZA VIPAJI! – Na. Makundi DJ – Shule ya Msingi Chidachi iliyoko katika Kata ya Mkonze Manispaa ya Dodoma; imefanikiwa kufaulisha wanafunzi wote waliohitimu darasa la saba 2011. Shule hiyo iliyoanzishwa mwaka 2004 ilifanikiwa na imeendelea kuwa na mafanikio makubwa...SCHOOL YAFAULISHA 100%; YAJIKITA SCHOOLS send your children brilliant! – And. Groups DJ – Primary School located in the County Chidachi Mkonze Dodoma Municipality, has succeeded in achieving all students who completed grade seven in 2011. School founded in 2004 and has continued to be managed with great success...Edit
CLUB ZAOMBA MAKTABA, TUISHENI KUNUSURU UFAULU KIDATO CHA IV, 2012 – Na. Davis Makundi – Wanachama wa Club za Marafiki wa Elimu Dodoma kutoka katika shule mbalimbali Mkoani Dodoma wameomba msaada wa kupata walimu na Maktaba za jamii ili kuwanusuru na matokeo mabaya katika mtihani wa kidato cha nne na kidato cha pili mwaka huu. ...ZAOMBA CLUB LIBRARY, TUISHENI help him succeed FORM IV, 2012 – And. Davis Groups – Members of the Club of Friends of Education in various schools in Dodoma Dodoma region have asked for help in getting teachers and community libraries to help with test results negative in Form Four and Form Two this year. ...Edit
Picha za MatukioPhotos of EventsEdit
Kutoka MitaaniFrom the StreetsEdit
WafadhiliDonorsEdit
Matukio YajayoUpcoming EventsEdit
WashirikaPartnersEdit
(image) – Meneja wa Mradi wa MRMV Bi Rehema Mwakajila akiwa na maafisa wa Asasi ya Marafiki wa Elimu Dodoma (MED) alipofanya ziara Mkoani Dodoma kwa ajili ya ufuatiliaji wa Mradi.(image) – Project Manager Ms. Grace Mwakajila MRMV with organization officials Dodoma Friends of Education (MED) visited Dodoma region for monitoring the project.Edit
NDEBWE YALETA MABADILIKO KATIKA DEMOKRASIA. – Na. MED Information Unit – Shule ya Msingi Ndebwe iliyoko katika Halmashauri ya Wilaya ya Dodoma imeonesha matokeo mazuri katika uchaguzi wa kidemokrasia kwa kumchagua msichana kuwa Kiranja Mkuu wa shule hiyo na kuwashinda wavulana waliokuwa wapinzani wake wa karibu. ...(Not translated)Edit
(image) – Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma Bi. Fatma Said Ally akiongea na wadau wa Elimu wakati wa uzinduzi wa mradi wa My Rights My Voice unaotekelezwa na Asasi ya Marafiki wa Elimu Dodoma (MED) na Women Wake UP (WOWAP) kwa uhisani wa Shirika la Oxfam GB. Pichani mwenye shati la Blue ni Mratibu wa MED Bw. Davis Makundi na mwenye shati la Black ni Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino BBaltazary Ngowi.(image) – Head of the District of Dodoma Region Chamwino Bi. Fatma Said Ally talking to stakeholders of Education at the launch of My Rights My project is implemented by the organization Voice of Dodoma Friends of Education (MED) and Women Wake UP (WOWAP) philanthropy for Oxfam GB. Pictured is a Blue shirt MED Coordinator Mr. Davis groups and a shirt Black is Acting Director of District Council Chamwino BBaltazary Ngowi.Edit
HAKIELIMU YAPONGEZWA Na. Davis Makundi – (image) Shirika la HakiElimu limepongezwa kwa kazi nzuri wanayoifanya nchini hasa katika kuboresha Elimu na Demokrasia nchini. Pongezi hizo zimetolewa na Mwenyekiti wa Bodi ya Asasi ya Marafiki wa Elimu Dodoma (MED) Dk. Sinda Hussein Sinda ambaye...HakiElimu YAPONGEZWA no. Davis Groups – (image) Agency HakiElimu limepongezwa good job they did for the country, especially in improving education and democracy in the country. Compliment those provided by the Chairman of the Board of the Friends of Education Institutions Dodoma (TO) Dr. Abolished abolished Hussein who is also a lecturer of the University of Dodoma UDOM when opening a meeting of members...Edit
(image) – Wanafunzi wa shule ya msingi Nghaheleze iliyoko Wilayani Chamwino wakiwa kwenye picha ya pamoja baada ya kupokea msaada wa Vitabu vya kiada. Vitabu hivyo vilikabidhiwa kwao na shirika la Marafiki wa Elimu Dodoma.(image) – Students of primary school district Chamwino Nghaheleze which together with the image after receiving assistance Textbooks. Books that time it would to them and the organization of Friends of Education Dodoma.Edit
WATAKA WABUNGE WAJITOKEZE KWENYE MIDAHALO. – Wananchi wa majimbo ya uchaguzi ya Mtera na Chilonwa katika Wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma wamewataka Wabunge wao kujitokeza katika mijadala inayowakutanisha ili wapate fursa ya kujadili juu ya matatizo yao. Wapiga kura hao waliyasema hayo katika mahojiano ya ufanisi wa mijadala ya Mahusiano baina ya Wabunge na wananchi inaypfadhiliwa na shirika la The Foundation...Waste MEMBERS WAJITOKEZE In a debate. – Citizens of the Mtera constituencies and Chilonwa District in Dodoma Region Chamwino have urged their members to appear in discussions inayowakutanisha to have an opportunity to discuss their problems. These voters did say in an interview that the effectiveness of discussions Relations between MPs and citizens inaypfadhiliwa and organization of The Foundation for Civil...Edit