Log in

/jeanmedia/news: English: WI00030DBC24E46000023206:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

Wananchi watakiwa kutunza mazingira

Na ASIA KILAMBWANDA, Mtwara                                                     

 Wananchi Mkoani  Mtwara wametakiwa kutotupa taka hovyo hususani katika maeneo ya pwani ya bahari ya bandari ya Mtwara na badala  yake watunze na kuhifadhi maeneo hayo kwa kuwa ni sehemu ya vivutio vinavyoingiza pato la Taifa kwa ajili  ya vizazi vya sasa na vijavyo.

           "Pwani ya Mtwara imepata athari kutokana  na watu wengi kutupa taka hususani mifuko ya plastiki na chupa za maji hali hii inatokana na watu wengi kutokuwa na elimu  ya mazingira",alisema Okachu.

       Kauli hiyo imetokana na katibu wa Occupational safety  Health  and Environment (OSHE), Melessy Edward Okachu wakati akiongea na waandishi wa Habari katika ofisi yake iliyopo katika bandari ya Mtwara kuhusu ushiriki wao katika kuadhimisha siku ya Mazingira ambayo itafikia kilele chake tarehe 5 mwezi wa 6 mwaka huu.

   Aidha Okachu amesema kuwa tatizo la uchafuzi wa mazingira linatokana na wananchi kwa idadi kubwa ya wananchi  wasio na elimu ya mazingira jambo ambalo amelitaja kuwa changamoto inayotakiwa kufanyiwa kazi kwa haraka.

Tafiti zinaonekana kuwa  asilimia kubwa ya upatikanaji wa maji yanatokana na uwepo wa mazingira yaliyojitosheleza kwa kukidhi mahitaji hivyo watu wanatakiwa kubuni njia mbalimbali za  kukabiliana na uharibifu wa mazingira.

       Wakati wa uandaaji wa mkakati wa kukuza  uchumi na kupunguza  umaskini  (MKUKUTA wa kwanza na wapili) wadau wa mazingira walijalibu kubuni njia  za kukabiliana na uhalibifu wa mazingira  mbinu hizo  zililenga kupunguza idadi ya watu wanaotuma  kuni na mkaa asilimia 90  hadi 80.

      Aidha athari zinazotokana na kuwepo uharibifu wa mazingira n pamoja  na uharibifu  wa tabaka la hewa ya ozone, magonjwa ya ngozi , ongezeko la Joto , ukame na mabadiliko  ya tabia ya  nchi.

 

 

 

 

Men should take care of the environment

And ASIA KILAMBWANDA, Mtwara

Mtwara Region Citizens are required to uselessly kutotupa particularly in coastal sea port of Mtwara and instead develop closer and storage areas that are part of the attractions vinavyoingiza GDP for the current and future generations.

"Coast of Mtwara has many side effects due to litter, especially plastic bags and bottles of water this is because most people have no knowledge of the environment", said Okachu.

Statement is based on the Secretary of Occupational Safety Health and Environment (wash), Melessy Edward Okachu while speaking with journalists of the news in his office located in the port of Mtwara about their participation in the celebration on the Environment, which reaches its peak on the fifth month of the sixth year this.

Moreover Okachu has said that the problem of pollution comes from people with large numbers of people without knowledge of the environment which mentions that the challenge needed to be worked on quickly.

Studies seem to have a higher percentage of water supply due to the presence of conditions to meet the needs yaliyojitosheleza so people need to develop ways to cope with environmental degradation.

During the preparation of the strategy of promoting economic growth and reduce poverty (MKUKUTA's first and second) stakeholder environmental jalibu develop ways of dealing with uhalibifu environment these techniques aimed to reduce the number of people who sent wood and coal 90 percent to 80.

Also the effect caused by the presence of environmental damage and degradation of n with the air of the ozone layer, skin diseases, increased temperature, drought and climate change.

 


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
January 9, 2012
Men should take care of the environment – And ASIA KILAMBWANDA, Mtwara – Mtwara Region Citizens are required to uselessly kutotupa particularly in coastal sea port of Mtwara and instead develop closer and storage areas that are part of the attractions vinavyoingiza GDP for the current and future generations. (image) – "Coast of...
Google Translate
June 2, 2011
Citizens will be required to preserve the environment – And Asia KILAMBWANDA, Mtwara – Mtwara Region Men are supposed to kutotupa Clumsy especially in coastal areas of the sea port of Mtwara and instead to develop closer and storage areas that are part of the national output vinavyoingiza incentives for current and future generations. ...
This translation refers to an older version of the source text.