Log in

/m-e-d-1-1/news: English: WImrJTEl02rVHPlF1HHEdmNt:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

large.jpg

Katika utekelezaji wa kweli wa maendeleo ya Tanzania tunahitaji viongozi wachapakazi wenye moyo wa kutumikia wananchi na kukubali ushauri bila kujali nyadhfa zao. Bi.Fatma Said Ally ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Chamwino ni miongoni mwa viongozi ambao wanapongezwa na wananchi kutika juhudi zake za kuwa karibu na wananchi,taasisi pamoja na wadau katika Wilaya yake kwa lengo la kuwaletea maendeleo. MED inampongeza kiongozi huyu na kumtakia kila la kheri katika kutimiza azma yake ya kuifanya Wilaya ya Chamwino kuwa Wilaya zenye maendeleo chanya.(Pichani aliye simama ni mkuu wa Wilaya ya Chamwino Bi.Fatma Said Ally,kulia ni Bw. Baltazar Ngowi Afisa utumishi mkuu wa halmashauri ya Wilaya ya Chamwino na kushoto ni Bw.Davis Makundi mratibu wa shirika la Marafiki wa Elimu Dodoma.)(MED).

large.jpg

In fact the implementation of Tanzania's development, we need leaders who are hardworking spirit of serving the people and accept their advice regardless nyadhfa. Bi.Fatma Said Ally, who is the Head of the District of Chamwino are among the leaders who are praised by the people Ex. its efforts to become closer to the people, institutions and stakeholders in his district for the purpose of bringing about development. MED I commend this leader and prayed for all the best in his endeavor to make the district a district containing Chamwino positive development. (Pictured is a mother is the head of the District of Chamwino Bi.Fatma Said Ally, right mr. Baltazar Ngowi chief service officer District councils Chamwino and left it Bw.Davis Groups coordinator of the Friends of Education Dodoma.) (MED).


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
March 7, 2013
(image) – In fact the implementation of Tanzania's development, we need leaders who are hardworking spirit of serving the people and accept their advice regardless nyadhfa. Bi.Fatma Said Ally, who is the Head of the District of Chamwino are among the leaders who are praised by the people Ex. its efforts to become closer to the people, institutions and stakeholders in his district for the purpose of bringing about development. MED I commend this leader and...