Envaya

/ldf/topic/22707: English: dM000BB2FF25C60000024528:content

Base (Swahili) English

Asante sana Haji Mwadini kutoka Zanzibar kwa majibu yako mazuri lakini utakubaliana na mimi kuwa kila mtu ana haki ya kufanya biashara yeyote lakini bila kuvunja sheria ya Nchi.  kununua na kuuza Ardhi ni haki ya kila raia bila kujali kiongozi au mtu binafsi na kuhusu kujengwa Hoteli za kitalii sio tatizo sababu ni moja ya maendeleo swala la kutumia simu za gharama kwa wanafunzi wa shule hilo lipo wazi kuwa hapaswi kutumia  simu wakati wa akiwa shuleni lakini hukumbuke kuwa sasa shule nyingi wanafundisha Computer .

mimi na fikiria kuwa viongozi katika utandawazi  sio tatizo, tatizo jinsi tulivyo upokea uho utandawazi,hili ni jukumu la kila mmoja wetu katika jamii kuakisha vijana wanapewa taalifa sahihi kuhusu utandawazi na ukitaka kuwaficha unaweza usikie lengo asante fikiri mvugaro mwela theatre

Thank you Haji Adin from Zanzibar for your good answers but you will agree with me that everyone has the right to make any business but without breaking the laws of the State. Buying and selling land is a right of every citizen regardless of the leader or the individual and the built hotel of tourist is not a problem because it is one of the development the subject of using mobile phone costs for students it is clear that it should not use the phone when at school but mbuke not be many schools are now teaching Computer.

I think that the leaders in globalization is not a problem, the problem we are received uho globalization, this is the responsibility of everyone in the community when he young people are given taalifa right about globalization and you want to hide you can not hear the target thanks think mvugaro Mela theater


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
June 11, 2011
Thank you Haji Adin from Zanzibar for your good answers but you will agree with me that everyone has the right to make any business but without breaking the laws of the State. Buying and selling land is a right of every citizen regardless of the leader or the individual and the built hotel of tourist is not a problem because it is one of the development the subject of using mobile phone costs for students it is clear that it should not use the phone when at school but mbuke not be many...