Base (Swahili) | English |
---|---|
MIRADI MIPYA YA MARAFIKI WA ELIMU DODOMA (MED) 2014
......................................................................................................................... VIPINDI VYA RADIO - DODOMA MED kwa ushirikiano na shirika la HakiElimu katika mwaka 2014 tutaendesha vipindi vya Radio katika kituo cha Radio Sports FM cha Dodoma. Katika vipindi hivo mada mbalimbali zitajadiliwa na washiriki kutoka Wilaya za Dodoma, Kondoa, Mpwapwa, Bahi, Chemba, Mpwapwa, kongwa na Chamwino. Lengo la vipindi hivi ni kuongeza ushiriki wa wananchi katika kujadili masuala mbalimbali ya kijamii hususan katika kuboresha Elimu na Demokradsia nchini. MRADI WA KUHAMASISHA UTAWALA BORA NA DEMOKRASIA SHULENI MED kwa mwaka 2014 inaendelea na mradi wa Haki Yangu Sauti Yangu kaika shule zaidi ya 24 za Msingi na Sekondari katika Wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma. Mradi huu utakao husika na kujenga uwezo wa Mabaraza ya wanafunzi, Kamati za Shule, Bodi za Shule na Menejimenti za shule unafadhiliwa na shirika la kimataifa la Oxfam GB. MRADI WA MAKTABA ZA JAMII. MED inaendelea kufanya mazungumzo na ofisi ya Afisa Mtendaji wa kata ya Kikuyu Kusini kwa ajili ya kufungua Maktaba ya Jamii itakayo hudumia wakazi wa Kata a Kikuyu Kusini, Kikuyu Kaskazini na Mkonze katika Manispaa ya Dodoma. Iwapo mradi huo utafanikiwa; wanafunzi wa shule za sekondari za Kikuyu, Mkonze, Chidachi na Wella pamoja na wanafunzi wa shule za msingi Mkonze, Kikuyu A, Kikuyu B, Mkonze na Chidachi watanufaika na huduma hiyo ya Maktaba. MED imekuwa ikijihusisha na shughuli za kuhamasisha jamii kuboresha Elimu, Kushiriki katika Mikutano ili kuongeza ushiriki wa wananchi katika masuala ya kijamii na kukuza Demokrasia, Kuelimisha vijana na jamii kuhusu madhara ya Matumizi ya Madawa ya Kulevya, Madhara ya UKIMWI kwa jamii na Taifa, Kuhamasisha Utamaduni kwa kuwa na vikundi vya Sanaa; na pia MED inahamasisha jamii katika kuhakikisha kuwa inalinda Afya zao dhidi ya Magonjwa kama Malaria, Kipindupindu nk. Mwaka 2010 MED kwa uhisani wa Shirika la HakiElimu na Kifimbo FM; iliendesha vipindi 23 vya Radio vilivyojadili masuala mbalimbali ya Elimu ikiwemo Elimu ya Demokrasia katika kipindi cha Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabubge na Madiwani. Mwaka 2011 MED kwa kushirikiana na HakiElimu na Uwezo.net itaendelea na mradi wa kuendesha vipindi vya Radio kwa ajili ya Uhamashishaji wa Kuendeleza na kuboresha Elimu Mkoani Dodoma.
|
NEW PROJECTS FOR FRIENDS OF EDUCATION DODOMA (MED) 2013
VIPIND I OF RADIO - DODOMA MED in collaboration with agency HakiElimu during May, 2012 to Nobvemba, 2012 The goal of these programs is to increase the participation of citizens in discussing social issues, particularly in improving education and Demokradsia country. MOBILIZE THE SCHOOL GOVERNANCE AND DEMOCRACY MED for the year 2012/2013 will implement the project, which is worth more Tsh.50, 000,000 / = kaika more than 20 schools for primary and secondary Chamwino District in Dodoma Region. This project will be concerned with building the capacity of students councils, school committees, the Board of Management of the school and the school is funded by the international agency Oxfam GB. THE LIBRARY OF SOCIAL. MED continues to negotiate with the office of the Chief Executive of the County of Kikuyu Africa for the opening of the Community Library that will serve the residents of Ward a Kikuyu Africa, North and Mkonze Kikuyu in Dodoma Municipality. If the project is successful, students of secondary schools of the Kikuyu, Mkonze, and Wella Chidachi with students of primary schools Mkonze, A Kikuyu, Kikuyu B, Mkonze and Chidachi will benefit from the services of the Library. MED has been ikijihusisha and activities to encourage communities to improve education, Participate in meetings to increase participation of citizens in social issues and promote democracy, educate young people and communities about the impact of Drug Abuse, Impact of AIDS on communities and the Nation, Promoting Culture for art groups, and also encourages community MED in ensuring that protects their health against diseases like Malaria, Cholera etc.. In 2010 MED Agency for philanthropy and stick HakiElimu FM, conducted 23 sessions of Radio vilivyojadili various aspects of education, including Education for Democracy in the General Election of the President, Wabubge and Councillors. In 2011 MED in conjunction with HakiElimu and Uwezo.net project will run Radio programs for the development and improvement Uhamashishaji Education Dodoma region. |
Translation History
|