MED YAANZISHA MFUKO WA ELIMU YA SEKONDARI CHIDACHI – Na. Barakaely Christopher – Shirika la Marafiki wa Elimu Dodoma (MED) kwa kushirikina na wananchi wa kata za Kikuyu Kusini na Mkonze Manispaa ya Dodoma wameanzisha mfuko wa kuwalipia ada na michango mingine wanafunzi wote watakaofaulu mtihani wa darasa la saba na kujiunga na elimu ya sekondari... | (Not translated) | Hindura |