Envaya

/m-e-d-1-1/post/107577: English: WIYPWRvPsr6r7AKVJYFjLQsF:content

Base (Swahili) English

                                      HAKIELIMU YAPONGEZWA                           Na. Davis Makundi

Shirika la HakiElimu limepongezwa kwa kazi nzuri wanayoifanya nchini hasa katika kuboresha  Elimu na Demokrasia nchini. Pongezi hizo zimetolewa na Mwenyekiti wa Bodi ya Asasi ya Marafiki wa Elimu Dodoma (MED) Dk. Sinda Hussein Sinda ambaye pia ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma UDOM wakati akifungua mkutano wa wajumbe wa Bodi hiyo ambayo ni ya kwanza tangu MED kupata usajili rasmi.

Dk. Sinda pichani alisema mara nyingi mashirika yanayofanya kazi na wadau wake hupenda kuwatumia wadau hao kama chambo cha kuwapatia umaarufu kwa ajili ya kujikuza wao lakini kwa HakiElimu imekuwa tofauti kwani hadi hatua za mwisho wa usajili waliendelea kutoa ushirikiano kwa MED hadi usajili ukapatikana. "Ndugu wajumbe, tuna kila sababu ya kuwashukuru HakiElimu kwa jambo hili ambalo sote tunaamini bila wao leo hii MED isingekuwepo" alisema Dk. Sinda.

Naye Mratibu wa MED Bw. Davis Makundi aliwaeleza wajumbe kuwa ushirikiano huo umezidi kuimarika kwani HakiElimu licha ya kukubali jina la "Harakati za Marafiki wa Elimu" litoholewe na MED na kutumika; mwishoni mwa mwezi Aprili, 2012 walituma mkataba wa sh. 1,370,000/= kwake kwa ajili ya kuendesha vipindi 10 vya radio Mkoani Dodoma vitakavyohusiana na Elimu, Demokrasia na masuala ya utawala Bora.

Bodi ya MED inaandaa utaratibu wa kufanya mawasiliano na HakiElimu kwa ajili ya kuwaomba wakubali kuwa wanachama wa heshma katika shirika la MED kwa mujibu wa katiba.

Wakati huo huo wananchi wa kijiji cha Chidachi kilichoko Kata ya Mkonze Manispaa ya Dodoma wamesema wanatamani sana HakiELimu ikubali kuwa Mlezi wa Shule ya Msingi Chidachi ambayo licha ya kuwa ni shule changa, imekuwa na mafankio makubwa kitaaluma siku hadi siku.

Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo Bi. Zuhura Muhoji pichani kulia; alitoa ombi hilo kwa asasi ya MED na kuiomba iwasiliane na HakiElimu katika kufuatilia suala hilo. Wazazi na wanajamii wa Mkonze walieleza kuwa HakiElimu limekuwa ni shirika lisilo la kiserikali lenye mfano wa kuigwa kutokana na shughuli zake kuigusa jamii moja kwa moja tofauti na mashirika mengine ambayo yamekuwa yakifanya kazi kwa hisia za mahitaji ya jamii badala ya kuangalia hali halisi ya matatizo ya jamii husika. Shule ya Chidachi ilianzishwa katika Mpango wa MMEM na kuanza kupokea wanafunzi mwaka 2004. Mahafali ya kwanza ya shule hityo yalifanyika 2006 ambapo ufaulu ulikuwa 100%. Mahafali zilizofuata matokeo yake ni kama yanavyoonekana kwenye mabano; 2007 (91%) 2008 (88.8%) 2009 (86.9%) 2010 (87.5%) na 2011 (100%). Pamoja na mafanikio hayo kwa shule ya Chidachi, shule ina upungufu mkubwa wa madawati, nyumba za Walimu, vitabu vya kiada na ziada pamoja na changamoto ya Maktaba.

HakiElimu YAPONGEZWA no. Davis Groups

Agency HakiElimu limepongezwa good job they did for the country, especially in improving education and democracy in the country. Compliment those provided by the Chairman of the Board of the Friends of Education Institutions Dodoma (TO) Dr. Abolished abolished Hussein who is also a lecturer of the University of Dodoma UDOM when opening a meeting of members of the Board, which is the first since TO get official registration.

Dr. Abolished pictured said often organizations working with its stakeholders may wish to use them stakeholders such as bait to give prominence for self cultivation of them but HakiElimu has been varied as to the final stages of registration, they continue to cooperate with TO to registration was obtained. "Dear members, we have every reason to thank for this HakiElimu which we all believe without them today WITH not there," said Dr. Abolished.

And Mr. WITH Coordinator. Groups Davis told delegates that strengthening cooperation has intensified since HakiElimu despite accepting the name "Friends of Education Movement" litoholewe and TO and used, at the end of April, 2012 they sent a contract sh. 1,370,000 / = for him to run for 10 periods vitakavyohusiana radio Dodoma Region and Education, Democracy and good governance issues.

TO the Board is preparing the process of making contacts and asking for HakiElimu accept that members of the organization heshma WITH according to the constitution.

Meanwhile the people of the village of what's Chidachi County Mkonze Dodoma Municipality have said they wanted to accept that the Lord HakiElimu Primary School Chidachi which despite being a young school, has had great success professionally from day to day.

The school head teacher Mrs. Venus Muhoji pictured right, made a request to the organization and ask WITH iwasiliane and HakiElimu in tracking the issue. Parents and community members of Mkonze explained that HakiElimu has a non-profit organization with a model due to its activities touch the community directly unlike other organizations that have been working with a sense of community needs rather than looking at the reality of the problems of society concerned. Chidachi School was founded in the PEDP program and begin receiving students in 2004. The first graduation took place in 2006 hityo schools where performance was 100%. Subsequent graduation result is like stand in the brackets: 2007 (91%) in 2008 (88.8%) 2009 (86.9%) 2010 (87.5%) and 2011 (100%). Despite these successes Chidachi to school, the school has a shortage of desks, home teachers, textbooks and additional challenges with the Library.


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
May 17, 2012
HakiElimu YAPONGEZWA no. Davis Groups – (image) Agency HakiElimu limepongezwa good job they did for the country, especially in improving education and democracy in the country. Compliment those provided by the Chairman of the Board of the Friends of Education Institutions Dodoma (TO) Dr. Abolished abolished Hussein who is also a lecturer of the University of Dodoma UDOM when opening a meeting of members...