Envaya

/M-E-D-1-1/post/8221: English: WI000C8341C19EE000008221:content

Base (Swahili) English

Wazazi waaswa na Tuisheni za wanavyuo.

Wazazi wa wanafunzi wanaosoma katika shule ya Sekondari ya Kikuyu Manispaa ya Dodoma wameaswa kujihadhari na Tuisheni zinazoendeshwa na wanavyo kwani zina madhara makubwa kuliko faida.

Rai hiyo ilitolewa kwenye mkutano wa wazazi wa wanafunzi wa kidato cha pili na cha nne wanaosoma katoka shule hiyo kufuatia malalamiko kuwa wengi wa wanafunzi wa shule hiyo wanajihusisha na masuala ya ngono na wanachuo wa St. Johns.

Wazazi na walimu wa shule ya sekondari ya Kikuyu walieleza masikitiko yao mbele ya Mwenyekiti wa Kamati ya maendeleo ya Kata ya Kikuyu Kaskazini Mh. Meja Risasi kuwa, baadhi ya wanafunzi wa kike katika shule hiyo wamekuwa wakisingizia kufundishwa na wanachuo hao lakini matokeo yake wanaishia kufanya nao ngono badala ya masomo.

Wazazi hao wameombwa kuhakikisha kuwa wanawalinda watoto wao dhidi ya mtego wa wanachuo kwa kuhakikisha kuwa wanawazuia kwenda kwenye tuisheni hizo bandia.

Ili kupunguza tatizo hilo; Mkuu wa shule ya Kikuyu Sekondari Bi. Mkoyi aliwaeleza wazai kuwa shule hiyo imeazimia kuwa wanafunzi wa kidato cha pili na tatu watafanya marudio ya masomo kila siku za masomo bila malipo hivyo wazazi wahakikishe kuwa wanawawezesha watoto wao angalau kwa fedha ya kujinunulia soda mchana ili wasirudi nyumbani mara baada ya masomo ya kawaida.

Wazazi waliupongeza walimu na uongozi wa shule hiyo ambayo katika matokeo ya kidato cha nne 2010 zaidi ya wanafuzi 40 walifaulu katika daraja la kwanza hadi la tatu.

Parents should especially with Tuisheni of the colleges.

Parents of students who are studying in Secondary School in Dodoma Municipality Kikuyu are trapped Tuisheni operated aware of what they have as serious consequences than benefits.

Rai was released at the meeting that the parents of students form the second and fourth who read it went out of school following complaints that many school students are involved with issues of sex and the college of St. Johns.

Parents and teachers of secondary schools of the Kikuyu were described their grief in front of the Chairman of the Committee for the development of the North County Kikuyu Hon. Major Shoot, some female students in this school have been pretending to be taught by the college but the results end up making them sex instead of subjects.

These parents have also been urged to ensure that they protect their children against the grip of the college to ensure that they are prevented to go into these tuisheni fake.

To minimize the problem, General Secondary School Kikuyu Bi. Mkoyi he told Mazai that school imeazimia that students of Form Two and Three will do a review of lessons each day of lessons without charge so parents should ensure that they enable their children at least for money buy soda afternoon that they should return home immediately after school to normal.

Parents and teachers praise the leadership of the school which results in Form Four in 2010 more than 40 students were successful in first grade to third.


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
February 27, 2011
Parents should especially with Tuisheni of the colleges. – Parents of students who are studying in Secondary School in Dodoma Municipality Kikuyu are trapped Tuisheni operated aware of what they have as serious consequences than benefits. – Rai was released at the meeting that the parents of students form the second and fourth who read it went out of school following complaints that many school students are involved with issues of sex and...