Envaya

/takuuki/topic/23163: English

BaseEnglish
@NG'ONYE JOHN (Mkurugenzi wa Taasisi ya Kupambana na Ukimwi Kitangari.): – Vizuri sana John;Nafikiri watu wanahamu kubwa ya kupata dawa ya ugonjwa huu;hasa wale ambao wameshaathirika ndio maana watu wengine (siyo babu wa loliondo) wanatumia njia ya kujipati fedha wakijua kwamba dawa haitibu lakini watu watanunua na pesa itapatikana kwa biashara hiyo.)angalia jinsi vikombe vilivyoongezeka hivi karibuni),mara cha bibi,mara cha nani;siwalaumu hii yote ni kwa sababu ya...@ NG'ONYE JOHN (Director of the Institute of Anti-AIDS Kitangari.): – Very good John, I think people are eager to get medicine for this disease, especially those who are affected are for other people (not the father of Loliondo) are used through kujipati money knowing that the drug is itibu but people will buy and the money will be available for trade.) Looked How cups vilivyoongezeka recently), was the grandmother, who was a, I blame all this is because of poverty and still...Edit
Ugonjwa wa UKIMWI bado ni tatizo katika nchi yetu ya Tanzania,lakini baadhi ya wananchi wengine wanaonesha kuridhika kuwepo kwa Ugonjwa huu eti kwasababu ya kupatikana kwa tiba ya miti shamba kama ambavyo babu Mchungaji Ambilikile wa Loliondo anavyotibu kwa Kikombe.Kuridhika kwao hudiriki kusema sasa ugonjwa huu umepata dawa ya kutibu.Ninachopenda kueleza kwa wenzangu ni kwamba tusiache kuchukua tahadhari kwa kisingizio kwamba Dawa...AIDS is still a problem in our country of Tanzania, but some of the other citizens who expressed satisfaction the existence of this disease simply because of available treatment herbs as grandfather Pastor Ambilikile of Loliondo is vyotibu for Kikombe.Kuridhika them the time to say now this disease you get medicine for me is kutibu.Ninachopenda explain that neglecting to take precautions with the excuse that the drugs found. Advice....Edit
Ugonjwa huu bado ni tishio katika nchi yetu ya Tanzania,tunachotakiwa kufanya ni kuendelea kuhamasisha jamii kujikinga na ugonjwa huu.This disease is still a threat in our country of Tanzania, we should do is continue to encourage the community to prevent this disease.Edit
Hii ni Kitangali ya Mtwara Newala au Kitangali nyingine?This is the Mtwara Kitangali Kitangali Newala or other?Edit
Asante kwa swali lako, Hii ni Kitangari ya Mtwara iliyopo wilaya ya Newala. Hakuna nyingine.Usifananishe na Kitangiri.Thank you for your question, this is the Mtwara Kitangari Newala existing district. No nyingine.Usifananishe and Kitangiri.Edit
HALI YA UGONJWA WA UKIMWI TANZANIA.THE DISEASE OF AIDS IN TANZANIA.Edit