Envaya

/pedo/post/81071: Kiswahili: CM0006404E4D659000081482:content

Asili (Kiswahili) Kiswahili
Ipo haja ya kujikita zaidi katika alimu ya stadi za maisha kama vile elimu ya ukimwi, mazingira, ujasiriamali, uvuvi nakadhalika.

Kufanya hivyo ni kuwajengea wananchi njia sahihi ya kujikwamua kutokana na umaskini unaoendelea kulitesa taifa letu la Tanzania
(Bila tafsiri)

Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe