Injira

/takuuki/topic/27195/add_message: Kinyarwanda

BaseKinyarwanda
Napenda kueleza machahche kuhusiana na Hali ilivyo kuhusu HIV/AIDS kwenye shule za Sekondari na Vyuo mbalimbali vya Ualimu hapa nchini Tanzania. – Nazungumzia jambo hili kwa sababu msisitizo kwa Vijana hawa upo kwenye Elimu ya Compyuta na Masomo ya Sayansi, lakini HIV/AIDS haihusishwi. Kutohusishwa inaonekana hawajengewi moyo wa Maisha ya Baadae,jambo ambalo mara wanapofuzu Taaluma yao wanaonekana tayari wana VVU lakini pia hawapendi kupangiwa kazi maeneo...(Not translated)Hindura
Phytza@yahoo.com (Peace and Hope for Youth Development "PHY") – Dhana ya kutowajali vijana hasa wa vyuo mbalimbali hasa vyuo vya elimu ya juu katika suala zima la Ukimwi, kwakuwa jamii inaamini kuwa vijana hawa wana uelewa kuhusu UKIMWI na madhara yake, kitu ambacho kwa mtazamo wangu sio sahihi. Hivyo nadhani vijana wa elimu ya sekondari na vyuo vya elimu ya juu wanapaswa kuelimishwa pia stadi za maisha ili kupata elimu ya kujithamini, na hivyo kuepuka...(Not translated)Hindura
@Ng'onye John (Taasisi ya Kupambana na Ukimwi Kitangari- Newala.): Nafikili jambo lakufanya viongozi wa dini, wanasiasa na walimu iwe kauli mbiu kwao wanapokuwa wako jukwaani iwe salamu yao kwa hadhira, asante!(Not translated)Hindura
ELIMU YA UKIMWI SEKONDARI NA VYUONI INASAHAULIKA.(Not translated)Hindura
Your email:(Not translated)Hindura
Your email address will not be published.(Not translated)Hindura
Your location:Aho uherereyeHindura
(optional)(Not translated)Hindura
AMMbere ya saa sitaHindura
{date} at {time}{date} at {time}Hindura
(edited {date})(Not translated)Hindura
MarchWerurweHindura
JuneKamenaHindura
JulyNyakangaHindura
PMNyuma ya saa sitaHindura