Envaya

/Tawa/post/100107: Kinyarwanda

BaseKinyarwanda
Suala la afya kwa wahanga hawa wa mafuriko ni muhimu kulishughulikia kutokana na mazingira/ maeneo yao ni machafu sana na mengine bado yamezingirwa na maji ,na wahanga hawa wameshaanza kuathirika na magonjwa ya mlipuko ikiwemo maralia tukizingatia kuwepo kwa mgomo wa madakitari hii ianweza kusababisha athari kubwa ikiwemo vifo.Hivyo tunaomba misaada husika ipelekwe kwa walengwa haraka iwezekanavyo.(Not translated)Hindura
Tungeomba vilevile suala la wanafunzi wa shule za msngi na sekondari wa maeneo tuliyotemelea waweze kupewa msaada wa haraka wa mahitaji ya shule kama yalivyoainishwa ili waendelee na masomo kwa sababu wanafunzi wengine wanaendelea na masomo ,(Not translated)Hindura
Janga hili ni kubwa na limeleta madhara makubwa katika maisha ya wananchi hawa,familia zimekosa mwelekeo, waathirika wakubwa ni watoto na akina mama ambao wameachwa na waume zao kwa sababu ya hali ngumu ya maisha baada ya mali zao kuteketea.Hivyo tunashauri taasisi za kimataifa .makampuni, watu binafsi kusaidia familia hizi kwani mpaka sasa serikali haijatoa msaada wowote kwa wahanga hao,(Not translated)Hindura
Survey ya Athari za Mafuriko,Keko Wilaya ya Temeke. – Yafuatayo ni Maswali na majibu: – 1.Unaishi eneo gani – Mtaa wa Magulumbasi 'A' – 2.Mtaa wako Unahitaji kitu gani sana sana – Mtaa wangu unahitaji – Kutengenezewa mirefereji midogo midogo itayoweza kuzunguka nyumba na kupitisha maji kwa urahisi sehemu zote. Kutengeneza mipaka...(Not translated)Hindura
Add a commentTanga igitekerezoHindura
Your email:(Not translated)Hindura
Your email address will not be published.(Not translated)Hindura
Your location:Aho uherereyeHindura
%s said:%s bavuzekoHindura
(optional)(Not translated)Hindura
Publish commentHitisha igitekerezoHindura
CommentsIbitekerezoHindura
JanuaryMutaramaHindura
FebruaryGashyantareHindura
{month} {day}, {year}{day} {month}, {year}Hindura