Napenda kuzungumzia swala nzima linalozikabili asasi mbalimbali Nchini la kukosa majengo ya kudumu. Swala hili limekuwa tatizo kwa asasi nyingi hapa Nchini na kupelekea asasi nyingi kushindwa kufanya shughuli zake kwa ubora unaotakiwa, ukizingatia wafadhili wengi hivi sasa awatowi pesa kwa ufadhili wa ujenzi majengo ya ofisi. Je, swala hili mnafikiri nini kifanyake ili kukabiliana na tatizo nzima la majengo ya kudumu kwa asasi? Naomba mchango wa mawazo katika... | I would like to discuss the whole issue linalozikabili organizations In the lack of permanent buildings. This issue has been a problem for many institutions in the country and leading many organizations fail to make its activities to the quality required, given most donors now awatowi money for financing construction of office buildings. Do you think what this issue kifanyake to deal with the whole problem of building lasting institutions? Please input the ideas... | Edit |