Envaya

/tssf-org-tz/topic/123419/add_message: Kiswahili: dMnxrpmEDAH6mEyMGjnnwg8T:content

Asili (Kiswahili) Kiswahili

Ndugu zetu wapendwa tunawakaribisha kutoa maoni maoni yenu juu ya ni nini kifanyike ili kuhakikisha kuwa gesi asilia iligunduliwa hapa Mtwara - Tanzania inawanufaisha wananchi wa Mikoa ya Mtwara na Lindi na Taifa kwa ujumla.

Tuma maoni yako kwa anuani ya barua pepe ambayo ni dolif.headofficetz@gmail.com

Maoni haya yatapelekwa kwenye Kamati ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoshughukia rasilimali za Taifa.

Ndg. Aloyce Mbuya

Naibu Katibu Mkuu

Doli Foundation - Tanzania.

(Bila tafsiri)

Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe