Envaya

/AUG/post/103320: Kinyarwanda: CMJFVdCs5a9PNTOh9N2VKNgJ:content

Base (Igiswayire) Kinyarwanda
kwa jina naitwa Steven S. yohana,ni Afisa uvuvi kilwa kivinje,nimefulahi sana kuona kwamba mnaendelea kutoa elimu inayohusu ufugaji wa samaki. Ni kweli kwamba samaki wamekua wakitegemewa na jamii nyingi Duniani kwa ajili ya chakula na kipato.Kutokana na kuongezeka kwa mahitaji ya samaki pamoja na mazao yake na kukua kwa teknolojia ya uvuvi.shughuli za uvuvi katika maji ya asili zimeongezeka kwa kiwango kikubwa ,hali hii imesababisha kupungua kwa kiwango kikubwa cha rasilimali za uvuvi hususani kwenye Bahari.Kwahiyo mbinu kubwa ya kutatua tatizo hilo ni ufugaji wa samaki,ili kuweza kupunguza fishing effort baharini.kingine ambacho cha muhimu sana ni ubora wa kitoweo cha samaki kwamba hakina madhala yoyote ukilinganisha na nyama za mbuzi,kuku,ngombe ambazo hukua kwa madawa mengi.wito wangu karibuni sana kilwa,na msituchoke kututembelea,lakini kingine ni kwamba kuna kikundi cha wavuvi ambao wapo tayari katika maswala ya ufugaji,kikundi kipo kijiji cha mgongeni kilwa kivinje,karibuni sana.
(Not translated)

Kugirango ugire icyo uhindura kubyo wasemuye, ugomba kwinjira mu rubuga Injira · Iyandikishe