Envaya
/hakielimu/news
: English
Base
English
Watanzania tunaweza ku #changetanzania tukiamua, tuungane kuiboresha elimu ya awali kwa kushiriki kampeni ya #boreshachekechea
(Not translated)
Edit
Sio viongozi wote au watendaji wote wenye access ya mitandao ya jamii kwa sababu wanazozijua,tuwafikishie ujumbe kwa picha #boreshachekechea
(Not translated)
Edit
@IamBenPol Tuna furaha kumpokea mwanamuziki mshindi wa tuzo tele za R&B Tanzania , sanaa ni njia nzuri ya kueneza ujumbe tunaomba support
(Not translated)
Edit
I posted 23 photos on Facebook in the album "UZINDUZI WA BORESHA CHEKECHEA" http://t.co/d1JPX5Yi
(Not translated)
Edit
@shyrosebhanji Tunachongojea ni picha yako ukiwa na ujumbe ambao unadhani utasaidia kuboresha elimu nchini , tunakwenda kukusanya picha 1000
(Not translated)
Edit
@MackAbouSalmaJr Hayo mawazo yakiwa katika picha yenye bango au karatasi yenye ujumbe huo itakuwa vema zaidi, ndiyo lengo la kampeni hii
(Not translated)
Edit
@rahmabajun Shukrani mzalendo na mdau wa maendeleo nchini kwa kueneza ujumbe kuhusu kampeni ya #boreshachekechea tutafurahi kituma na picha
(Not translated)
Edit
@MackAbouSalmaJr Hatuamini katika kushindwa na hatuamini kazi za kuleta mabadiliko ni rahisi ndio maana tunahitaji nguvu ya watanzania wote
(Not translated)
Edit
@shyrosebhanji Mheshimiwa Mbunge tunakushukuru sana na tunaelewa dhamira yako ya kuboresha elimu nchini tangu ukiwa NMB ungana nasi sasa
(Not translated)
Edit
@barbarahassan Tunajua mdau wetu kosa halikuwa lako usijali ndio tumezindua leo kampeni usishau kututumia pic yako tutashukuru @GeraldHando
(Not translated)
Edit