Envaya

/chawaumavita/news: English

BaseEnglish
chawaumavita ni mshiriki wa kongamano la kimataifa kuhusu birth defects international conference birth defects 2015 linaofanyika katika hoter ya Serena kuanzia tarehe 21.09.2015 hadi 24.09.2015 – Mgeni rasmi alikuwa mh makamu wa Raisi Dr Mohammed Gharib Bilal ambaye aliufungua rasmi jana jumatatu 21.09.2015. – (image) (image)(Not translated)Edit
maadhimisho ya mtindio wa ubongo duniani ktk viwanja vya mnazi mmoja jiiini dar es salaam oktoba 2 2014.mgeni rasmi alikuwa kaimu katibu mkuu wizara ya afya na ustawi wa jamii ndg michael john(Not translated)Edit
(image) – makam mwenyekiti akiwasilisha mada(Not translated)Edit
(image) (image) (image)(Not translated)Edit
(image)(Not translated)Edit
CHAWAUMAVITA jana iliitisha press conference ili kuzungumzia maadhimisho ya cp dayitakayofanyika mnazi mmoja tarehe 7.10.2015 jumatano saa 3 asbh hadi saa 6 mchana. (image)(Not translated)Edit
MKUTANO MKUU WA MWAKA (AGM)JUNI 21,2014. – Mwenyekiti anawataarifu wanachama,wajumbe,wadau na jamii yote kuwa juni 21 2014,chawaumavita wanatarajia kufanya mkutano mkuu wa mwaka,katika viwanja vya mazoezi tiba manzese ukombozi,saa 3 asubuhi. – agenda za mkutano mkuu ni – 1.marekebisho ya katiba, – 2.ripoti ya kamati tendaji 2013/2014, – 3.mapato na matumizi. – wajumbe wote wana karibishwa katika...(Not translated)Edit
CP DAY OCTOBER 7,2015 – Chawaumavita kitaadhimisha siku ya CP oktoba 7 2015 ktk viwanja vya mnazi mmoja kuanzia saa 3 asubuhi hadi saa 6 mchana. – tunatarajia mgeni rasmi atakuwa Mh Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam alhaj Said Meck Sadick,kauli mbiu ya mwaka huu ni "i am here" ambapo mtoto mwenye cp anajitambulisha kwa jamii ili aweze kupata huduma zake za msingi na hakia kiraia, na "we are here" wazazi wanajitambulisha ili jamii iweze kutambua changamoto ambazo wazazi...(Not translated)Edit
Taarifa – viongozi wa chawaumavita watakuwa hewani katika intavyuu ya channel 10 saa 1 asubuhi.(Not translated)Edit
(image) – mh diwani akihojiwa na vyombo vya habari(Not translated)Edit