Envaya
/hakielimu/news
: Kiswahili
Asili
Kiswahili
@ludadaud Fuatilia TL ya @njamason kufahamu sababu kubwa inayowasababisha kuzuiliwa kufanya mitihani, tena kigoma tuliwahi kuripoti hilo
(Bila tafsiri)
Hariri
Mwanafunzi wa shule ya sekondari Bukoba azuiwa kufanya mtihani wa #kidatochaIV kutokana na kuwa na ujauzito - Mwananchi pg3
(Bila tafsiri)
Hariri
@misstamarind Tutafurahi kama utatufafanulia ujumbe huu una maana gani umetuacha mbali sana
(Bila tafsiri)
Hariri
Mwanafunzi afanya mtihani #kidatochaIV akiwa wodini baada ya kufanyiwa upasuaji, asema hayuko tayari kuikosa mitihani hiyo- Mwananchi
(Bila tafsiri)
Hariri
@ludadaud Vipi tena tujuze yaliyojiri na huko usisahau TT ni #kidatochaIV
(Bila tafsiri)
Hariri
(image) ...
(Bila tafsiri)
Hariri
@Allan_Lucky "Rais wa Wanafunzi" tufikishie hii http://t.co/EMjE57Kq kwa wananchi wako michango yao tunaisubira hapa http://t.co/pdebCzsx
(Bila tafsiri)
Hariri
Wanafunzi 97 huko Kahama kutokufanya mtihani wa #kidatochaIV kutokana na kukosa fomu za maendeleo akiwa shule ya msingi (TMS9)- Nipashe
(Bila tafsiri)
Hariri
Tuzo za wandishi bora wa mwaka 2012 zimezinduliwa rasmi leo na wadau wa MCT. Elimu ni mojawapo kati ya 18 maeneo... http://t.co/mIDG3M8P
(Bila tafsiri)
Hariri
TEACHERS; YOU ROCK THE WORLD http://t.co/xx4SSn3T
(Bila tafsiri)
Hariri