Log in

/bozasecondary/post/4: English

BaseEnglish
wanafunzi wanaosoma Boza nawashauri msome kwa bidii kwani elimu mnayoipata itawasaidia maishani mwenu jitahidini katika masomoya ufundi yatawatoa kimaisha mnao waalimu wa ufundi wazuri na mazingira ya shule ni tulivu hakunavishawishi someni kwa bidii .[1994 at Boza sec.school](Not translated)Edit
nimevutiwa na shule ada ni ngap(Not translated)Edit
boza sec endelea kuboresha mazingira ya kusoma kwa kukuza kiwango cha ufaulu ili kuvutia zaidi wanafunzi kujiunga hapo. nawatakia mafanikio(Not translated)Edit
Pia kwa watu wa boza walioko kwenye mtandao wa kijamii wa facebook tuna group yetu inaitwa boza sec school mates unaweza jiunga kupata mambo mbalimbali(Not translated)Edit
shule iko katika mandhari nzuri na yakuvutia kwani ipo karibu na bahari ya hindi. ina eneo kubwa na ina mazingira mazuri ya kujifunzia. CCM, WAzazi wajitahid kuboresha baadhi ya miundombinu na nafaham wako katika harakati hizo. karibuni pangani.(Not translated)Edit
Nahitaji kujiuna shule yenu(Not translated)Edit
Napanga kumleta mwanangu asome hapo mm nipo dar es salaam.Ada kwa muhura ni shilingi ngapi ntafulahi ukinisaidi kwa hiro.au ni sms 0783213411.(Not translated)Edit
Ya inawezekana fika shuleni fomu znapatikana(Not translated)Edit
Karibu. Shule inamilikiwa na CCM- Jumuia ya wazazi. Iko Pangani mkoani – Tanga.(Not translated)Edit
Ada ni kiasi gani kwa mwaka?(Not translated)Edit
Natarajia kumleta mwanangu kujiunga na kidato cha kwanza kwa mwaka huu je itawezekana?(Not translated)Edit
UMOJA WA WAZAZI TANZANIA – SHULE YA SEKONDARI BOZA – S.L.P 87 SIMU 0272630065 /0713-935 335/ 078 539 141 – Email:bozasec@yahoo.com.PANGANI ...(Not translated)Edit