Envaya

/bozasecondary/post/4: Kinyarwanda

BaseKinyarwanda
wanafunzi wanaosoma Boza nawashauri msome kwa bidii kwani elimu mnayoipata itawasaidia maishani mwenu jitahidini katika masomoya ufundi yatawatoa kimaisha mnao waalimu wa ufundi wazuri na mazingira ya shule ni tulivu hakunavishawishi someni kwa bidii .[1994 at Boza sec.school](Not translated)Hindura
nimevutiwa na shule ada ni ngap(Not translated)Hindura
boza sec endelea kuboresha mazingira ya kusoma kwa kukuza kiwango cha ufaulu ili kuvutia zaidi wanafunzi kujiunga hapo. nawatakia mafanikio(Not translated)Hindura
Pia kwa watu wa boza walioko kwenye mtandao wa kijamii wa facebook tuna group yetu inaitwa boza sec school mates unaweza jiunga kupata mambo mbalimbali(Not translated)Hindura
shule iko katika mandhari nzuri na yakuvutia kwani ipo karibu na bahari ya hindi. ina eneo kubwa na ina mazingira mazuri ya kujifunzia. CCM, WAzazi wajitahid kuboresha baadhi ya miundombinu na nafaham wako katika harakati hizo. karibuni pangani.(Not translated)Hindura
Nahitaji kujiuna shule yenu(Not translated)Hindura
Napanga kumleta mwanangu asome hapo mm nipo dar es salaam.Ada kwa muhura ni shilingi ngapi ntafulahi ukinisaidi kwa hiro.au ni sms 0783213411.(Not translated)Hindura
Ya inawezekana fika shuleni fomu znapatikana(Not translated)Hindura
Karibu. Shule inamilikiwa na CCM- Jumuia ya wazazi. Iko Pangani mkoani – Tanga.(Not translated)Hindura
Ada ni kiasi gani kwa mwaka?(Not translated)Hindura
Natarajia kumleta mwanangu kujiunga na kidato cha kwanza kwa mwaka huu je itawezekana?(Not translated)Hindura
UMOJA WA WAZAZI TANZANIA – SHULE YA SEKONDARI BOZA – S.L.P 87 SIMU 0272630065 /0713-935 335/ 078 539 141 – Email:bozasec@yahoo.com.PANGANI ...(Not translated)Hindura