Envaya
/lingonet/news
: Kiswahili
Asili
Kiswahili
(image) – wajumbe wa baraza la MTAMA
(Bila tafsiri)
Hariri
SHUGHULI ZIFANYWAZO NA LINGONET ZINAZO WIANA NA MPANGO KAZI WA TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA –TANZANIA – UTANGULIZI – Mtandao wa AZAKi wilaya ya LINDI LINGONET ni asasi iliyoanzishwa mwaka 2002 na kusajiliwa rasmi mwaka 2003,ikiwa na wanachama waanzilishi 13,LINGONET mpaka kufikai mwaka 2014 inawachama 25 ingawa inahudumia asasi zipatazo 60 zilizopo katika wilaya ya LINDI baadhi yao si wanachama wa Mtandao kwa vile...
(Bila tafsiri)
Hariri
(image) – Mwenyekiti wa LINGONET akiendehsa taratibu za kuchangia maoni katika baraza la MTAMA
(Bila tafsiri)
Hariri
(image) – Wajumbe wa baraza la Mtama
(Bila tafsiri)
Hariri
Baraza la watoto la Mkoa wa Lindi kimradi toka katika Wilaya za Kilwa,Lindi na Ruangwa katika picha ya pamoja na Mshauri wa Maendeleo ya Jamii wa Mkoa wa Lindi mara baada ya kikao chao cha mwaka kilichofanyika katika ukumbi wa CWT tarehe 30/11/2014 (image) (image)
(Bila tafsiri)
Hariri
Watoto wa baraza la watoto wilaya ya Kilwa wakiwa katika mkutano wao wa mwaka katika ukumbi wa welfare kilwa masoko (image) (image)
(Bila tafsiri)
Hariri
(image) – kiongozi wa kikundi akiwasilisha maoni ya kikundi
(Bila tafsiri)
Hariri
(image) – wajumbe wa baraza wakiwa katika kazi za vikundi
(Bila tafsiri)
Hariri
(image) – wajumbe wa baraza wakiwa katika kazi za vikundi
(Bila tafsiri)
Hariri
(image) – Kiongozi wa kikundi akiwasilisha maoni ya kikundi
(Bila tafsiri)
Hariri