Envaya

/nvrf/topic/123237: English

BaseEnglish
Brother Charles. – Tatizo si mawaziri wala CCM, tatizo ni kupotea kwa uzalendo na maadili ya Taifa. – Sisi sote kwa pamoja ni lazima tuangalie wapi tulipo angukia siyo wapi tulipo jikwaa. Wajibu wetu kama taifa ni kuhakikisha tunaukataa ukoloni wa watu weusi na kuyakataa mabaki ya ukoloni wa wazungu katika vichwa vyetu. Kwa pamoja tunaweza, timiza wajibu wako. – Dr Cliifford Majan – ABHASU.MBEYA.Brother Charles. – The problem is not ministerial or CCM, the problem is the loss of patriotism and national values. – We're all together it should look at where we fall not where we stumble. Our responsibility as a nation is to make sure we reject colonial blacks and rejected the rest of the colony of whites in our heads. Together we can, fulfilling your responsibilities. – Dr. Cliifford jan – ABHASU.MBEYA. ...Edit
Watanzania wote – Tuelewe kitu kimoja ufumbuzi sio kubadilisha mawaziri kwani watakao badilishwa ni wale wale baada tu ya kubadilisha wafuatwe na mali zao zote ziporwe zirudishwe serikalini kwani mtu kama Ngeleja ukisimamisha leo unajisumbua bure ana vitega uchumi kibao tuangalie mbele zaidi hata wapinzani hawakuwa waadilifu mfano ni Dogo Zotto gari la Thamani kubwa kama Hummer amelinunua kwa fedha gani mshahara wa ubunge au????????????? swali kubwa sasa suluhisho hapa ni katiba Mpya...All Tanzanians – Understand one solution is not changing the ministers as they will be replaced are those only after the change be followed and all their possessions ziporwe returned the government for someone like Ngeleja you stopped today is troubling free holds investments hit us look beyond even the opponents were not just like a Small Zotto's car Hummer has a great value if bought with money or how parliamentary salary????? Now the big question here is the solution New constitution...Edit
Baraza jipya la mawazir tz litakuaje?ingawa itabiriwa kua laweza kuundwa na vijana kwa asilimia 70 lakn ofu yangu mimi kama mtanzania ni pale baraza hilo jipya litakapo shindwa kuwajibika jaman serikal ya chama cha mapinduzi(CCM)ndiyo itakua imefikia ukingoni kwani ni dhairi kabisa kua wananch wa tz wameshachoshwa na ufisadi kama sio wizi unaofanywa na vigogo au kwa lugha ya kificho kidogo wenye magamba jamani tumuombe Raisi kikwete aweze kusuka mawaziri wenye moyo na sio wenye menoCouncil's new mawazir tz litakuaje? Though itabiriwa grow can set up and young people by 70 percent lakn Memphis me as a Tanzanian is where the council the new when the accountable Jaman serikal Party Revolution (CCM) is will be prevalent on the periphery as is evident at all growing up they hunch The tz have shachoshwa and corruption if it is not theft by trunks or in the language of the code scales slightly with President Kikwete could Jamani tumuombe cabinet with woven heart and not with...Edit
BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI TzNew Cabinet TzEdit