Envaya

/MAUJATA/topic/123409: English: dMe6vfkRgbLDeRDW1B3IBw66:content

Base (Swahili) English
Maambukizi ya VVU/UKIMWI yanazidi kuongezeka kila kuchapo kwa sababu:- 1: Umaskini. 2: Elimu ya namna ya kuzuia na kujikinga haijawakolea wadau. 3: Mila na desturi potofu zinachangia kwa kiasi fulani mfano ukeketaji, kurithi wake nk. 4: Uwepo wa mazingira hatarishi yanayoamsha na kuchochea ari ya kufanya mapenzi, mfano kumbi za starehe, migodi nk.
(Not translated)

In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register