Asili (Kiswahili) | Kiswahili |
---|---|
KONGAMANO LA SANAA WASANII wote mnaalikwa katika kongamano la sanaa za maonesho linalotarajiwa kufanyika Juni 15, 2013 hapa mkoani Iringa kuanzia saa 2:30 asubuhi hadi saa 11:00 jioni. Kongamano litakuwa la siku moja na washiriki wanaomba kujigharamia kwa 100%. Pamoja na mada, kongamano litapambwa na burudani za sanaa za maonesho. Watakaopenda kujitolea kuendesha mada na wale watakaopenda kuonesha sanaa zao katika kongamano hilo wajiandikishe mapema kabla ya Februari 2012. Uratibu wa kongamano utagharamia chai na chakula cha mchana kwa washiriki wote katika siku ya kongamano. Wasanii wote mnakaribishwa! Limeandaliwa na:- Hisia Cultural Troupe S.L.P 436 Iringa 0754439740 |
(Bila tafsiri) |
Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe