Envaya

/tssf-org-tz/post/77016: Kiswahili

AsiliKiswahili
Mnania njema ya kutusaidia sisi watoto wa masikini ili tusome maana hatujiwezi lakini siasa zina ingilia utendaji kazi wa shirika na yote kwa sababu wao watoto wao hawana shida wanasoma vizuri bila tabu yoyote wengine wapo nje ya nchi mimi naomba kama inawezekana anzeni kuwalipia ada watu maana tayari wapo vyuoni na hilo liserikali lao wanatunyima mikopo tuta somaje sasa?? acheni siasa kwenye maswala nyeti(Bila tafsiri)Hariri
asanteni kwa taarifa natumaini nyoyo za wananchi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania angalau zina amani na shahuku kubwa ya kutaka kujua kitakachojiri na kuwaombea mfanikishe ili na wananchi wenye kipato cha chini wapate kufanikiwa kupitia huduma zenu, kila la kheri.(Bila tafsiri)Hariri
Siku zt shetan ananjia zake ila tuamini sisi wtt wa masikin Mungu ata2pgania iyo siku j4 katka icho kikao ata2pgania(Bila tafsiri)Hariri
in case of everything is true, fine and well settled, you'll have my appreciations TSSF. – good luck!(Bila tafsiri)Hariri
Msivunjike moyo kwa kukatishwa tamaa njozi yenu ni nzuri na imeshapata kibari mbele za Mungu.songa mbele(Bila tafsiri)Hariri
jaman kwa wake tulioomba mkopo mpaka leo tupo vyuoni na tuna uhitaji wa mkopo huo lkn mpaka sasa hatujui ni nn kinaendelea afu na namba zenu hazipatikani(Bila tafsiri)Hariri
Mungu aoneshe njia hapa palipo na nia(Bila tafsiri)Hariri
Mfuko huu ni uleule wa polepole aliposema makada wa ccm mlikosa mkopo mjee ofisi ndogo Lumumba mtasaidiwa ndio kupitia mfuko huu ulioundwa na vijana wa ccm Pole Marwa rafiki yangu wa Lumumba miongoni mwa watumishi wa mfuko huu(Bila tafsiri)Hariri
TANZANIA SOCIAL SUPPORT FOUNDATION – OFISI YA MKURUGENZI MKUU – TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI NA UMMA – YAH: KAULI YA SHIRIKA LA TSSF DHIDI YA TAMKO LA WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA KUHUSU SHIRIKA LA TSSF – Shirika la Tanzania Social Support Foundation linakiri kupokea tamko la Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia lilitolewa na Mhe. Profesa Joyce...(Bila tafsiri)Hariri