Fungua

/chamakivu/post/110331: Kiswahili

AsiliKiswahili
Halmashauri za Wilaya ziweke bajeti kwa ajili ya mafunzo kwa watendaji Kata,Vijiji, na Halmashauri za Vijiji/Kamati za Vijiji – Kuwepo na mafunzo ya mara kwa mara kwa watendaji na wenyekiti wa Vijiji/Vitongoji – Viongozi wa Vijiji/Vitongoji wawe na dhana yakujitolea katika kujifunza na utafutaji wa taarifa mbalimbali, kuliko hali ya sasa ya kutanguliza posho zaidi kuliko kujifunza.(Bila tafsiri)Hariri
Tumekuwa tunapata shida sana katika mafunzo viongozi wengi wa vijiji wakiitwa katika mafunzo cha kwanza kuuliza ni posho badala ya kujifunza na wakati huo kiongozi uyo hana utambuzi wowote wa nafasi ya uongozi wake, hali ni mbaya sana vijijini viongozi wengi wa vijiji hawana utambuzi wa mambo ya utawala bora kabisa yeye kaa katika uongozi kwa kujua kuongea sana au vinginevyo jitihada kubwa zinahitajika sana kwani jamii iko kwa viongozi wa ngazi ya chini vitongoji na vijiji...(Bila tafsiri)Hariri
(image)(Bila tafsiri)Hariri
Add a commentOngeza maoniHariri
Your email:Email yako:Hariri
Your email address will not be published.Anwani yako ya email haitachapishwa.Hariri
Your location:Mahali ulipo:Hariri
%s said:%s alisema:Hariri
(optional)(sio lazima)Hariri
Publish commentChapisha maoniHariri
CommentsMaoniHariri
DecemberDesembaHariri
{month} {day}, {year}{day} {month}, {year}Hariri
DiscussionsMajadilianoHariri
Kinyarwanda(Bila tafsiri)Hariri