Kwa nini mradihuu unahitajika?Kwenyemradi wetu uliopita katika kata mbili za manispaa ya Arusha yaani unga ltd na sokon 1 tuligundua watu hawakujitokeza kupima VVU/UKIMWI Katika vituo mbalimbali ndani ya manispaa kutokana nauelewa mdogo na kutojua umuhimu au faida ya kupima na kujitambua. Kwa sababu hii inachangia maambukizi kuendelea kuongzeka kila mwaka badala ya kupungua watu wengi wanafanya ngono pasipo kutumia kinga. Pamoja na usambazaji na upatikanaji wa... | Why mradihuu you need? Kwenyemradi our last in the county two municipalities of Uttar Pradesh namely flour ltd and sokon one we found people did not appear to measure HIV / AIDS in different centers within the municipality for understanding young and ignorant of the importance or benefits of testing and identification. For this reason continuous transmission contributes still be increased each year instead of declining many people have sex without using protection.... | Edit |