VIGODORO/ RUSHAROHO Nimarufuku kwenye sherehe za kiislam GAIRO. Hayo yalisemwa na sheikh wa kata ya Gairo Sheikh Nassoro Bakari baada ya kumalizika kikao cha baraza la masheikh kata ya Gairo. Akitoa taarifa hiyo makamu wa Imam wa msikiti wa Wilaya ust. Yusuf alisema, Hairuhusiwi kwa Mislam kuhusisha sherehe za kidini na miziki. Hata hivyo amesama atakaekiuka masheikh hawata fika kwenye shughuli yake na atatengwa katika maswala ya kidini ikiwa ni pamoja na kutofika kwenye msiba unaoihusu... | (Bila tafsiri) | Hariri |