Envaya

/tssf-org-tz/post/77010: Kiswahili: WIY4eOBYTNVwwHxKP7VZctz9:content

Asili (Kiingereza) Kiswahili

SHIRIKA LA KUSAIDIA JAMII TANZANIA

OFISI YA MKURUGENZI MKUU

 

TANGAZO

Kutakuwepo na Kikao Cha I Cha Chama Cha Ualimu Tanzania – CUT, Kitakachofanyika Siku ya Jumapili ya Februari 08, 2015 Saa 08:00 Mchana hadi Saa 12:00 Jioni Katika Ofisi za Shirika la Kusaidia Jamii Tanzania – TSSF.

Kikao hiki kitafanyika Chini ya Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu wa TSSF na Watakaohudhuria ni Wale Wajumbe Waliopata Mwaliko Kutoka Katika Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu wa TSSF.

Imetolewa na;-

Mkurugenzi Mkuu – TSSF.

 

(Bila tafsiri)

Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe