Asili (Kiingereza) | Kiswahili |
---|---|
SHIRIKA LA KUSAIDIA JAMII TANZANIA OFISI YA MKURUGENZI MKUU
TANGAZO Kutakuwepo na Kikao Cha I Cha Chama Cha Ualimu Tanzania – CUT, Kitakachofanyika Siku ya Jumapili ya Februari 08, 2015 Saa 08:00 Mchana hadi Saa 12:00 Jioni Katika Ofisi za Shirika la Kusaidia Jamii Tanzania – TSSF. Kikao hiki kitafanyika Chini ya Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu wa TSSF na Watakaohudhuria ni Wale Wajumbe Waliopata Mwaliko Kutoka Katika Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu wa TSSF. Imetolewa na;- Mkurugenzi Mkuu – TSSF.
|
(Bila tafsiri) |
Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe