Envaya

/taslindi/projects: English: WI000D740EFD432000026376:content

Base (Swahili) English

Taasisi ya Watu wenye Ulemavu wa Ngozi - Tawi la Lindi au kwa lugha ya Kiingezreza Tanzania Albino Society (TAS) - Tawi la Lindi imetekeleza mradi wa Kujenga Uwezo na Uelewa kwa Watu wenye Ulemavu kuhusu Sera ya Taifa ya Walemavu kwa watu wenye ulemavu na wadau wengine kutoka katika Kata 5 za Manispaa ya Lindi. Kata hizo ni; Mingoyo, Ng'apa, Makonde, Ndoro na Msinjahili. Mradi umetekelezwa kwa muda wa miezi mitatu kuanzia Januari hadi Machi, 2011. Mradi umeweza kuwafikia watu wenye ulemavu na jamii kiujumla wapatao 45 kutoka katika kata za utekelezaji wa mradi na hivyo kuongeza uelewa wa watu wenye ulemavu na jamii kuhusu Sera husika. Pia kuongezeka kwa ushiriki wa watu wenye ulemavu katika michakato ya Sera na Maendeleo. Mafanikio mengine ni kuboreka kwa mawasiliano na ushirikiano kati ya Viongozi na watendaji wa Serikali za Mitaa na Waandishi wa habari dhidi ya Watu wenye ulemavu.

Mradi huu umefadhiliwa na taasisi ya The Foundation for Civil Society ya Dar Es Salaam kwa jumla ya Fedha za Kitanzania zipatazo Milioni Nne Laki Tisa Sitini na Tatu (TZS. 4,963,000/=) tu. Mradi umefanikiwa pia kuongeza ari na hamasa ya watu wenye ulemavu kufahamu Sera na Sheria mbalimbali zinazolenga kulinda na kutetea haki na wajibu wao katika michakato ya Maendeleo. Aidha, TAS Lindi inatarajia kuendeleza jitihada za kuwajengea na kuwawezesha watu wenye ulemavu kiuwezo katika nyanja tofauti za; Kiuchumi, Kijamii, Kisiasa na Kiutamaduni kwa kutumia vyanzo tofauti vya raslimali ili kuhakikisha na kupelekea watu wenye ulemavu kuwa na ustawi na maendeleo endelevu.

Institute for People with Disabilities of the Skin - A branch of Lindi or language Kiingezreza Tanzania Albino Society (TAS) - Branch of Lindi has also implemented a project of Capacity Building and Awareness for Persons with Disabilities in the National Policy on Disability for people with disabilities and other stakeholders from five municipal wards of Lindi. County are: Mingoyo, Ng'apa, Makonde, and Msinjahili Ndoro. The project has been underway for three months from January to March 2011. The project has been able to reach people with disabilities and society in general from about 45 counties to implement the project and thus increase the awareness of people with disabilities and the community about relevant policies. It also increased the participation of people with disabilities in policy and development processes. Other achievements are improvements in communication and cooperation between leaders and executives of local authorities and journalists against people with disabilities.

This project was funded by the institution of The Foundation for Civil Society of the Dar Es Salaam in Tanzania the total funds of about four hundred thousand Nine Million Sixty-Three (TZS. 4,963,000 / =) only. The project has also succeeded in increasing morale and motivation of people with disabilities to understand the various policies and laws aimed at protecting the rights and responsibilities in the development processes. In addition, TAS Lindi hopes to pursue efforts to build and empower people with disabilities in different aspects of the most capable, Economic, Social, Political and Cultural using different sources of resources to ensure people with disabilities and lead to prosperity and sustainable development.


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
July 19, 2011
Institute for People with Disabilities of the Skin - A branch of Lindi or language Kiingezreza Tanzania Albino Society (TAS) - Branch of Lindi has also implemented a project of Capacity Building and Awareness for Persons with Disabilities in the National Policy on Disability for people with disabilities and other stakeholders from five municipal wards of Lindi. County are: Mingoyo, Ng'apa, Makonde, and Msinjahili Ndoro. The project has been underway for three months from January to March...