Kiashilia kikubwa cha maelezo hapo juu ni suala la mafuriko ,wananchi wameathirika na janga hilo lakini waliopata msaada ni asilimia ndogo sana na wahanga ambaaohawakufikiwa ,Keko, Mbagala ,Tabata , Tandale na maeneo mengineyo yamelalamika lakini hawakuchukua hatua yoyote hivyo kilio chao kubaki nacho wenyewe | (Not translated) | Edit |