(image) Mkurugenzi mtendaji Wa shirika la African Heritage Foundation TANZANIA Ndugu Albert nchini T. Msafiri anatoa wito Kwa vijana kuunga Mkono shirika hilo katika jitihada zake za kutokomeza ujinga Kwa kujitolea kufundisha katika shule za chini ambazo zina kataṃ matatizo makubwa ya walimu. Albert aliendelea kusema kuwa shule za kataṃ Ni maeneo ya vijijini hayana walimu kabisa alitolea mfano Wa shule ya secondari ya Chetu iliyoko Wilaya ya Urambo Mkoani Tabora ambayo...(This translation refers to an older version of the source text.)