Asasi ya Muwape inategemea kutekeleza Mradi wa Kuwajengea Uwezo Viogozi na Wanacha wa Uelewa wa Kuiongoza Asasi kwa umahiri. – Mradi huo utafadhiliwa na Foundation for Civil Society.Mradi ni wa Ruzukuya Tsh.7,364,500. – Mradi huu utakuwa wa Miezi mitatu pia utawashirikisha jamii inayozunuka eneo la Mradi. | (Bila tafsiri) | Hariri |