Base (Swahili) |
English |
Kwa kufuata sheria na taratibu za nchi jumuiya inafanya kazi zifuatazo:
- Kutoa elimu ya Mazingira kwa ujumla.
- Kutoa elimu ya Maadili
- Kutoa elimu ya Utamaduni.
- Kuengeza kiwango cha Elimu kwa wanachama na wanajamii kwa ujumla.
Miongoni mwa shughuli za jumiya ni:
- Kutunza, kuhifadhi na kulinda mazingira.
- Kufanya dhiara mbali mbali kwa ajili ya kuhamasisha jamii juu ya umuhimu wa utunzaji na uhifadhi wa mazingira mjini na vijijini.
- Kuwashajihisha vijana waachane na vikundi viovu, uvutaji wa madawa ya kulevya na vitendo vya uasharati.
- Kudhibiti utupaji ovyo wa takataka nakadhalika
|
By following the rules and regulations of the country operates the following communities:
- Environmental education in general.
- Moral education
- Cultural education.
- Kuengeza level of education for members and the community at large.
Among the activities jumiya are:
- Maintaining, preserving and protecting the environment.
- Make dhiara off for mobilizing the community about the importance of preservation and conservation of urban and rural environments.
- Kuwashajihisha youth to shun omissions groups, smoking drugs and acts of the excess.
- Control discharge of waste disposal, etc.
|