Ilianzishwa kama klabu ya viziwi ambayo watu walikuwa wanaidharau na kusema ni machizi (vichaa) – Baadae ikaanzishwa kikundi cha viziwi likijulikana kama kikundi cha viziwi kondoa (kiviko). – Baadae CHAVITA) mkoa Dodoma walitoa mafunzo ya lugha ya Alama (L.A.T)katika tawi la wilaya ya kondoa ndipo likaanzishwa CHAMA CHA VIZIWI TANZANI (CHAVITA) TAWI LA WILAYA YA KONDOAitakuwa chin ya chavita mkoa wa Dodoma. – Ilipofika 2010,kikundi likabadili jina kuita... | (Bila tafsiri) | Hariri |