BARAZA KUU LA WAISLAM TANZANIA Wilaya ya Gairo linawata kheri na baraka katika kusherehekea Idd l'fitri. Ibada ya ya Suna ya Idd kiwilaya itafanyika katika msikiti mkuu wa wilaya Masjid Rahmaan uliopo Gairo Unguu road kuanzia saa 1.30 asubuhi. Akizungumza na waumini wa masjid Rahmaan jana mwezi 29 ramadhan Sheikh wa Wilaya alisema BARAZA la idd litafanyika siku ya jumanne katika kijiji cha Ng'olongo kiliopo kata ya Idibo kuanzia saa saba baada ya swala ya adhuhuri na... | (Not translated) | Edit |