RafikiElimu Foundation wazindua mradi wa MAFUNZO YA UJASIRIAMALI BILA MALIPO – Mwalimu wa ujasiriamali wa rafikiElimu akiwa anafundisha – Taasisi hii hutoa mafunzo ya ujasiriamali kwa vijana kati ya miaka 15-45 bila malipo yoyote, tafadhari itumie fursa hii kujikwamua. – Kwa mawasiliano na RafikiElimu foundation piga simu 0763 976548 au 0782405936 – au tembelea tovuti yao ... | (Not translated) | Edit |