MAISHA MAPYA MABWEPANDE BAADA YA MAFURIKO. – Ni mji mpya kwa sasa,unaopatikana km 37 kutoka jijini Dar es salaam na upo upande wa kusini magharibi mwa jiji hilo,unaotegemewa kukaliwa na familia zipatazo 1800,baada ya makazi yao kuharibiwa kwa mafuriko ya tarehe 20/12/2011. – Jumapili ya tarehe 22/01/2012,msururu wa magari ya jeshi la wananchi wa Tanzania ukiambatana na viongozi wengine wa mkoa wa Dar es salaam,waliwasili katika eneo la Mabwepande tayari kuwakabidhi... | NEW LIFE MABWEPANDE after the flood. – It is now a new city, found 37 km from Dar es salaam and lies on the south west of the city, you otegemewa occupation and family about 1800, after flooding destroyed their homes on 20/12/2011. – On Sunday 22/01/2012, a series of military vehicles of the citizens of Tanzania paired with other leaders of the region of Dar es salaam, arrived in the area of Mabwepande ready to hand over the house mafuriko.Eneo victims and... | Edit |