4. UZINDUZI WA MAKTABA YA JAMII YA WEMA - MKALAPA – Tarehe 11 Julai 2009 iliambatana na tukio muhimu na la kihistoria katika kijiji cha Mkalapa. Kijiji cha Mkalapa kipo katika wilaya ya Masasi mkoani Mtwara. Kikundi cha Wanaharakati wa Elimu, Mazingira na Afya-WEMA walizindua rasmi Maktaba yao ya Jamii ya WEMA ambayo ina vitabu na machapisho zaidi ya 750. – Vitabu vilivyomo kwenye maktaba ya WEMA vimechangiwa na... | (Not translated) | Hindura |