dM0007320B55E27000066900:content | Tunawezaje kuifahamisha/kuielimisha kuhusu tatizo lililojificha/lililofichama, kuhusu udhalilishaji wa Kijinsia kwa wasichana – a) Tutatumia njia gani ili kutabua na kukabiliana na unyanyasaji wa kijinsia kwa wasichana ndani ya jamii zetu? – b)Je kuna mifano ipo katika jamii inayokuzunguka kuhusu tatizo hili kwa wasichana? – c) Je tatizo hili hutokea kwa sura gani? – Tafadhali changia mada... | How can we promote awareness of the widespread but often hiden problem of sexual abuse of young girls within our community – a)How can we identify ways to address sexual abuse of girls in our communties. – b) Can you give us any examples of such probelms if at all they happen around you. – c)How does this problem often happen in your community – Please contribute to this discussion so you can help Jean-media's research for our new project to... | jeanmedia | 13 Ukwakira, 2011 |