Envaya

Ubusobanuro: English (en): User Content: dMUEISmaICa9o2Eaw3exzaci:content

Base (Igiswayire) English

Napata taabu sana kwa kuona mashirika mengi ya Tanzania ukiacha yale yanayotetea haki za wanawake na walemavu ndio wanakuwa kipaumbele linapotokea tatazo ndio ulifatilia lakini baadhi ya mashirika mengi inapotokea matatizo mbalimbali katika jamii uwa hayajitokezi kuzungumzia swala lolote au tunasubiri hadi tuingiziwe Ruzuku ndio tunafanya kazi.

ukiangalia baadhi ya mashirika mengi yamekuwa kama vile baadhi ya vyama vya siasa kipindi cha uchaguzi uwa motomoto kikiisha tu basi.

na ndio sawa na baadhi ya mashirika hapa nchi kipindi cha Ruzuku uwa moto Ruzuku ikimalizika basi hakuna tena utetezi,

ukiangalia sasa migogoro ya wakulima na wafugaji imekuwa ni tatizo kubwa sehemu nyingi za Tanzania kwa mfano morogoro,kisarawe na wiki hii pwani wilaya ya Rufiji

katika hizi wilaya sasa kumekuwa ni tatizo kubwa sana lakini cha kushangaza kuna Asasi nyingi sana katika hizi wilaya na nje ya wilaya lakini wana asasi tumekaa kimya

na wakati mwengine baadhi ya Asasi hizi ukosa ujasili wakukabiliana na baadhi ya viongozi wa kijiji na porisi kipindi cha kukabili matatizo.

sio kwamba nabuni swala ili  nina uhakika kuna baadhi ya mashirika ambayo niliofanya nayo kazi  baadhi ya maeneo yao wanakutaka usizungumze ukwele kwa sababu tu wanamauhusiano nae mazuri huyo kiongozi mbovu ambae hafuati sera,sheria na miongozo iliyowekwa.

hivi hatuoni matatizo haya ya baadhi ya viongozi wabovu wanavyosababisha. na hivi kweli tunawapa miongozo mizuri jamii inapotokea matatizo kama haya.mpaka inafikia jamii moja ina kuishambulia jamii nyingine.

mashirika tupo wapi mpaka athari  zinatokea na kushindwa kutoa mwelekeo kwa jamii

na mashirika tuna tunaifahamu mitandao mbalimbali inayofanya kazi mbalimbali za kuidumia jamii kwa mfano msaada wa kisheria n.k

lakini pia tunaufahamu juu ya kama wananchi maenda kupeleka malalamiko sehemu fulani na hayajasikilizwa basi wachukue hatua ya kwenda wapi na kwa muda gani? lakini hata kama shirika lako halina hufahamu na jambo hilo unaweza kutafuta shirika ambalo linaweza kutoa muongozo wa ilo swala

naileta kwenu wadau na mashirika mbalimbali, kwanini inapotokea migogoro baadhi ya mashirika mengi uwa kimya?

I get much trouble to see many organizations in Tanzania apart from advocating the rights of women and the disabled that they are a priority as possible tatazo is the fatilia but some of the many organizations occurs various problems in society killed a yajitokezi discuss any matter or we wait until tuingiziwe Grant is we work.

you look at some of the many organizations have been as well as some political parties during the election Having fervent piety just then.

and is similar to some of the organizations here in the fire killed Grants Grants end then no longer defense,

you look at the current conflicts of farmers and herdsmen has been a major problem in many parts of Tanzania, for example cell, and this week the beach Kisarawe district of Rufiji

in these districts now there is a very serious problem, but surprisingly there are many organizations in these districts and outside the district but have remained silent civil

and sometimes some of these organizations wakukabiliana missed competence and some leaders of the village and over the counter porisi problems.

not simply guess the question that I'm sure there are some organizations that I made it work some of their sites they want to not talk ukwele because only positive relational him the evil leader who does not follow policy, rules and guidelines set.

Thus we do not see these problems for some poor leadership that block. and this fact we give a pleasant community guidelines occurs ya.mpaka problems if one community is coming to attack other communities.

organizations where we are to effect occur and failing to provide a focus for community

and organizations we know we have different networks operating range of assaults, for example community legal aid etc.

but we are also aware of whether the public going to send a complaint somewhere and then take steps yajasikilizwa going where and for how long? but even if your organization does not have a consciousness and that you can find an organization that can provide guidance to ILO issue

naileta you various stakeholders and organizations, why conflict occurs killed some many organizations still?


Kugirango ugire icyo uhindura kubyo wasemuye, ugomba kwinjira mu rubuga Injira · Iyandikishe

Ibyasobanuwe

Google Translate
25 Gicurasi, 2012
I get much trouble to see many organizations in Tanzania apart from advocating the rights of women and the disabled that they are a priority as possible tatazo is the fatilia but some of the many organizations occurs various problems in society killed a yajitokezi discuss any matter or we wait until tuingiziwe Grant is we work. – you look at some of the many organizations have been as well as some political parties during the election Having fervent piety just then. ...