Base (Swahili) | English |
---|---|
Ndugu zetu wapendwa tunawakaribisha kutoa maoni maoni yenu juu ya ni nini kifanyike ili kuhakikisha kuwa gesi asilia iligunduliwa hapa Mtwara - Tanzania inawanufaisha wananchi wa Mikoa ya Mtwara na Lindi na Taifa kwa ujumla. Tuma maoni yako kwa anuani ya barua pepe ambayo ni dolif.headofficetz@gmail.com Maoni haya yatapelekwa kwenye Kamati ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoshughukia rasilimali za Taifa. Ndg. Aloyce Mbuya Naibu Katibu Mkuu Doli Foundation - Tanzania. |
(Not translated) |