Log in

Translations: English (en): User Content: dMnxrpmEDAH6mEyMGjnnwg8T:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

Ndugu zetu wapendwa tunawakaribisha kutoa maoni maoni yenu juu ya ni nini kifanyike ili kuhakikisha kuwa gesi asilia iligunduliwa hapa Mtwara - Tanzania inawanufaisha wananchi wa Mikoa ya Mtwara na Lindi na Taifa kwa ujumla.

Tuma maoni yako kwa anuani ya barua pepe ambayo ni dolif.headofficetz@gmail.com

Maoni haya yatapelekwa kwenye Kamati ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoshughukia rasilimali za Taifa.

Ndg. Aloyce Mbuya

Naibu Katibu Mkuu

Doli Foundation - Tanzania.

(Not translated)

In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register