Envaya

Translations: English (en): User Content: dMXyl8xrMw8rQxxUAiZrGB1Z:content

Base ((unknown language)) English
Maoni yangu ni kuhusu suala la uraia wa nchi zaid ya moja,likubalike kikatiba,hii itasaidia kutunza asili zetu na uzalendo,pia itasaidia kuleta maendeleo,,kwa mfano kuna watu wana profesions zao za maana tu wakapata bahat za kufanya kaz nje ya nchi,hawa wakienda kule wanachukua uraia huko,na kwasabab nchi yetu haina suala la uraia wa nchi zaid ya moja hawa wanakua sio wa kwetu tena,ama wanakua kama wagen tu ambapo hawawez kuisaidia nchi kama wenye nchi yao so hawapo huru kuisaidia nchi kivyovyote wawapo nje wala ndani....pia ktk suala la michezo itasaidia haswa pale inapotokea kua tuna watu wanavipaja vyao wapo nje uraia huku tushawanyima kisa wana uraia mwingne,,,,wakat wangeruusiwa anacheza uko nje anapohtajka kimashindano ya nchi vile anakuja anachezea nchi yake then anarud kwe timu ya nchi alonunua uraia......kama tunawaswas tutajfunza wenzetu wanawezaje pia tutaweka sheria ztakazosaidia kuendesha hili......tutaweza tu kwa manufaa ya nch et......MUNGU IBARIKI TANZANIA
(Not translated)

In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register